Jana muheshimiwa nape kashika vichwa vingi mitandaoni baada ya kuonyesha ukopaji wa madeni awamu zote ila kilicholeta hamasa zaidi ni kuwa alijikita na awamu ya tano,je hoja za nape zinamashiko ama ni kutafuta attention ya kisiasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.