Naomba kujuzwa chimbo LA vitu vya urembo wa kike, kama vile hereni na mikufu, kwa bei rafiki zaidi, ukiachana na pale mtaa wa mchikichini, naomba kujua chimbo lingine kwenye bei nafuu zaidi
Hello!! Pisi kali, naomba unisaidie kunitajia lilipo chimbo LA hereni na mikufu ya kike,ambako bei zao ni rafiki sana ukiachana na zile za mchikichini msikiti wa mtoro,
Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada
Thread starterKisoda James
Start dateMay 20, 2021
Tagsbucha mafao milioni
First Prev12 of 13Next Last
IgnoreUnwatch
Extrovert
JF-Expert Member
Jun 3, 2021
Add bookmark
#221
Kmmmk walai
Thanks...
Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada
Thread starterKisoda James
Start dateMay 20, 2021
Tagsbucha mafao milioni
First Prev12 of 13Next Last
IgnoreUnwatch
Extrovert
JF-Expert Member
Jun 3, 2021
Add bookmark
#221
Kmmmk walai
Thanks...
Mimi Nina wazo, but mtaji sina, tunaweza ingia makubariano na kunikopesha kiasi cha 2M,hyo pesa yako ukawekeza kwenye wazo langu, na nikawa nakurejeshea pesa yako kwa riba ya asilimia 100%, kama uko tayali naomba tuwasiliane 0622939257, 0717447020, sio ww tu hata kama kuna MTU anahitaji kuingia...
Naomba unisaidie vigezo vyao vya kutoa mkopo kama unavijua, please nisaidie nahitaji kweli mkopo, na ndio maana hapo nikaweka hyo hata kwa riba ya asilimi 100% Niko tayali coz nahitaji, it means kwamba kila shingi moja atakayonipa mm basi izae shingi moja hyo ndio maana yangu kubwa hapo
Mimi Nina wazo, but mtaji sina, tunaweza ingia makubariano na hyo pesa yako ukawekeza kwenye wazo langu, na nikawa nakurejeshea pesa yako kwa riba ya asilimia 100%, kama uko tayali naomba tuwasiliane 0622939257, 0717447020, sio ww tu hata kama kuna MTU anahitaji kuingia ubia na mm basi...
Huu uzi umenigusa sana.nilikuwa natamani kufungua duka LA mahitaji ya kila siku but kwa kuona huu uzi umenibadilisha mawazo yangu ghafla "Asante sana kiongozi, na mungu akupe moyo huohuo usiache kutusaidia pale inapobidi"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.