Ushauri: Nina milioni 6 lakini sijui nifanye biashara gani

Weka hela bank, rudi kitaa jichanganye kwenye kaz ndogo ndogo kama kusafisha mitaro,kubeba zege baada ya mwez utajua biashara nzur sana ya kufanya.

Njia ya pili, kuwa Karbu na watu ambao hawana kitu,hao huwa wana plan nying za biashara.
Yaani akabebe zege na mitaro badala ya kutenga hata 200,000 kufanya research kwa kuzunguuka maeneo mbalimbali within specific timeline atapata picha pana sana.
 
Njoo tukuyu mbeya unanunua ngombe laki sita to saba, unampeleka kwako marisho miezi mitatu unamuza 1milion moja laki mbili kwenda ju sharti awe na mimba
 
Kwanza hongeraaa Sana kwa kuweka fedha hiyo ,,,
Ushauri wangu wekeza kye nafaka hasa mchele ...
Fungasha mchele toka morogoro halafu lete masasi mtwara huku soko lake zuri mno na hutojuta huku mchele unaenda Sana ...
Ukiwa Tayari ni contact ndugu ,,, ntakua mwenyeji wako huku na kila kitu kitaenda sawa ...
Ukihtaji mchanganuo wa biashara hii ntafute
 
Fanya forex fungua ac ya $500 baada ya mwezi utapata faida nzuri, muhimu fanya mwenyewe na zingatia Risk management
 
Wapambanaji mambo ni vipi,

Mwezi unakata hata sijui nifanye biashara gani sababu kila nikicheki biashara ya kufanya sioni.

Nilikua najichanga changa mwezi uliopita nikapiga hesabu nikapata million sita na point kazaa ila sasa shida inakuja kwenye kuchagua biashara ya kufanya kwani sipati majibu sahihi.

Humu ndani kuna wataalam wa masuala ya biashara nipeni ushauri nifanye biashara gani ambayo nitaona matunda,? Nipo DSM.

NB: Atakae nipa business plan nzuri zawadi ipo

JamiiForums



Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada​

First Prev12 of 13Next Last
IgnoreUnwatch
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Castr said:
Kuna rafiki yangu nilikua naye gym mzee wao kawaambia wapambane kutafuta vya kwao yeye vya kwake ameshaandikisha kanisa watavichukua.
Kmmmk walai

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Hii bank sijawahi iamini

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Aslan127
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Darmian said:
Kufanya hivyo ukiwa hata na dolar 40 huwezi?

Wazee wa forex bhana..
Dollar 40 utaikaanga kabla graph haijarudi upande wako!

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Econometrician said:
Mie Mama yangu alistafu mwaka Juzi alipata 92.5 M tupo watoto 4 moja mwanafunzi nikamwambia Mama tukopeshe hizo pesa sisi 3 tufanye tufanyie biashara tuondokane na umasikini,kilichotokea hakuna hata moja aliyopewa hata shilingi 100.
Leo hii kila siku ananiomba hela ya kula!
Kuwakopa yote ni ngumu 😅😅😅 ila 20M ningewagaia mpambane

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Mgumu04 said:
Angekuwa mfanya biashara ningemshauri ila hawa wastaafu vichwa huwa vigumu sana talking from experience.
Unamshaurije mtu ambaye hajawahi kufuga hata kuku

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Peasant educator said:
Bank savings account atapata riba ya 8% law mwaka ni si zaidi ya hapo ambayo kwa mwaka atalipwa 6.4m sawa na 535ktsh. Option nzuri anunue government securities ambayo ataweza pata hadi 15.9... %kwa mwaka netting twice as much yani 12.72m kwa mwaka sawa na 1.06mtsh kwa mwezi na wanakupa every six month baada ya uwekezaji. Tembelea tawi la stockbroker yoyte posta uweze saidiwa
Click to expand...
Hii hatifungani ni option nzuri zaidi kama una around 100M unapiga life zuri tu

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Sembinga said:
Vodacom juzi kati walitangaza hawatatoa gawio la faida kwa maana wamepata hasara. Sasa hizo fixed bank deposits na hati fungani haziwezi kuja kusema maneno kama hayo?
Serikali inakusanya mabilioni kila siku bandarini, manispaa, kodi na kadhalika inashindwaje kukulipa wewe million 1 kila mwezi?

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Solomon Mdogo said:
Achukue milioni 3 tu awekeze kwenye kilimo cha tikiti. Kila baada ya siku 75 anavuna. Net profit sio chini ya milioni 8 akilima eka 3 (za kuhenyeka hasa)

Faida yake ni kubwa sana akijitoa
Ushauri wa kipuuzi toka thread ianzishwe

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

macho_mdiliko said:
Mkuu naomba unitoe tongotongo. Hivi ukisema ''bond za miaka 20'' maana yake ni kuwa unaingia mkataba wa kuwaachia fedha zako kwa miaka 20 huku ukichukuwa ''faida'' tu?
Inasemekana unaweza kuuza muda wowote

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:macho_mdiliko
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Crocodiletooth said:
UPO VIZURI SANA WENYE ASSETS NDIO MATAJIRI,AND NOT HARD CASH,
kuwapa watoto hela sometimes its bad,BAADHI watafavya vyema baadhi wataziharibu na kuonja utamu wa fedha,hao waliofanya vibaya na hela wataanza maombi mabaya, (**bora afe, afii tuuu... and so so...).
Kuna ambaye namuona kashanunua iphone macho matatu tayari😂😂😂 na anabadili viwalo tu

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Crocodiletooth
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Mparee2 said:
Kwa jinsi anavyo onekana yupo stable kimaisha nilitamani kusikia ametoa/atatoa shs 10M kwa ajili ya kusaidia watoto yatima ili aweke akiba ya MBINGUNI au pengine kubusti ndugu masikini.

Mwambia anunue bonds za bank kuu kwani security yake ni ya hali ya juu ila kabla ya hapo tunamshauri atenge fungu la kusaidia kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa kumpa kazi na kumlinda hadi kumstaafisha akiwa salama
Click to expand...
Mbingu ipi?

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Peasant educator said:
Asset sio lazima nyumba. Wabongo mnafeli sana na kuwekeza kwenye ujenzi bila ya taaluma ya real estate. FYI watu wanasomea iyo taaluma miaka mitatu ndo wanakupa na ujuzi wa kufanya maamuzi sahihi na sio kukurupuka na kujenga tu. Kuna financial asset na kuna sehem ambazo mstaafu anatakiwa awekeze especially baada ya kustaafu mana alishachelewa kuwekeza.

So anahitajistability na sio kurudi kazini tena kuanza shuhulikia nyumba na biashara. Awekeze kidogo kwenye financial assets na zengine aangalie JATU wana program nzuri na kwa yy atatumia 5million tu na atakuwa safe. Some 5m nyengine awekeze kwenye kilimo cha vanilla kwa kumwona vanilla international limited wamsaidie. Na 70million zilizo salia akanunue BONDS. au tafuta financial consultancy agency wakamshauri vizuri.

Atatumia 1-2million ila ushauri watakaompa utamuokolea mda na hasara . These agency ni muhimu na sio kukurupuka na kuja JF ushauriwe. Maybe sio mbaya coz ndo unapata ushauri wa kwenda financial consultancy agency na sio eti humu JF wakushauri uwekeze wap hela yako yote unayotegemea.
Click to expand...
Hao Vanilla international ni swala la Muda tu hata Mr.Kuku alikuja na mbwembwe zote za kujitia ana bima ya kuzuia hasara kwa muwekezaji toka AAR akawaokota maboya wake!

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Tangantika said:
Hio vanila si ndio watu wanapigwa.Kilo elf 20 wao wanadai kilo sh laki 5.Wadau humu wamesema hii vanila unachavusha mwenyewe, sasa huyo mstaafu aanze kuvizia chavua badala ya kupumzika.
We umepanda hio vanila utoe ushuhuda.
Vanila Int. ni Mr.Kuku iliochangamka, ni swala la muda kabla ya mvua za nyuzi za Vilio humu 😅😅😅 in the same manner as Mr.Ontario the CON GameGenius (CGG)

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Fereke said:
Kanunue bond Bot ndio suluhisho kuu.. Inalipa zaidi.
Kwa bonds za serikali ndio penyewe mfano kwa mtu kama Mwana FA au AY waliopiga 2B unaweza weka moja ikakaa kule ikawa inakupa 15% ya hela kila miezi 6! Ukawa unakunja 150M kila miezi 6 huku biashara zingine zinaendelea tu. Hapa umaskini utausikia kwa majirani tu

Ndio maana wenzetu ulaya ni matajiri tu sababu wana good financial plans!

Thanks Quote Reply
Report
I

Isike II

Member​

Kisoda James said:
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Click to expand...
Habari ya asubuhi, naomba tuwasiliane

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Mtoto halali na hela"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/96/96921.jpg?1361873437[/IMG]

Mtoto halali na hela

JF-Expert Member​

Kama haina cha kufanyia aniazime hapo 10 tu miaka mitatu hela inarudi na 2 zaidi, hii ni kama shukrani

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Kurunzi"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/17/17757.jpg?1620314921[/IMG]

Kurunzi

JF-Expert Member​

Kumbe unajua maisha hayako guarantee na ndiyo maana amewka akiba yake, sasa wewe unataka atapanye acha hizi, pambana na hali yako.
souljar said:
Acha izo mentality mzee maisha ni hapa hapa nothing is guaranteed, unashangaa familia nyingi baada ya wazee kufariki vijana ndio wanaanza kuishi kwa furaha mjini ni kutokana na izo mambo. What am saying is kama kuna wakusaidia wafanya ivo hamna haja yakuzifungia wakati yeye mwenye umri wake uko kwenye danger zone tayari kuna aja gani yakufanya ivo kweli maana uwezekano mkubwa ata yeye mwenyewe anaweza asizitumie si bora asaidie where possible.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Click to expand...

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Solomon Mdogo"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/632/632579.jpg?1623435717[/IMG]

Solomon Mdogo

JF-Expert Member​

Extrovert said:
Ushauri wa kipuuzi toka thread ianzishwe
Kiss your as* and move on

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="MuksiniP"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/636/636613.jpg?1623833269[/IMG]

MuksiniP

Member​

Kisoda James said:
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Click to expand...
Mimi Nina wazo, but mtaji sina, tunaweza ingia makubariano na kunikopesha kiasi cha 2M,hyo pesa yako ukawekeza kwenye wazo langu, na nikawa nakurejeshea pesa yako kwa riba ya asilimia 100%, kama uko tayali naomba tuwasiliane 0622939257, 0717447020, sio ww tu hata kama kuna MTU anahitaji kuingia ubia na mm basi namkaribisha tuyajenge, Niko DSM temeke mtoni kwa azizi Ali
Nb;ukinipa hyo 2M nitakurejeshea 4M kwa muda tutakaokubaliana kufanya hayo marejesho.pia hii njia anaweza itumia kwa mtu yoyote yule muaminifu na ikawa inamzalishia pesa zaidi huku akiwa amestarehe tu.Asante
 
Wapambanaji mambo ni vipi,

Mwezi unakata hata sijui nifanye biashara gani sababu kila nikicheki biashara ya kufanya sioni.

Nilikua najichanga changa mwezi uliopita nikapiga hesabu nikapata million sita na point kazaa ila sasa shida inakuja kwenye kuchagua biashara ya kufanya kwani sipati majibu sahihi.

Humu ndani kuna wataalam wa masuala ya biashara nipeni ushauri nifanye biashara gani ambayo nitaona matunda,? Nipo DSM.

NB: Atakae nipa business plan nzuri zawadi ipo

JamiiForums



Amestaafu na kupewa shilingi milioni mia moja. Anaomba msaada​

First Prev12 of 13Next Last
IgnoreUnwatch
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Castr said:
Kuna rafiki yangu nilikua naye gym mzee wao kawaambia wapambane kutafuta vya kwao yeye vya kwake ameshaandikisha kanisa watavichukua.
Kmmmk walai

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Hii bank sijawahi iamini

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Aslan127
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Darmian said:
Kufanya hivyo ukiwa hata na dolar 40 huwezi?

Wazee wa forex bhana..
Dollar 40 utaikaanga kabla graph haijarudi upande wako!

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Econometrician said:
Mie Mama yangu alistafu mwaka Juzi alipata 92.5 M tupo watoto 4 moja mwanafunzi nikamwambia Mama tukopeshe hizo pesa sisi 3 tufanye tufanyie biashara tuondokane na umasikini,kilichotokea hakuna hata moja aliyopewa hata shilingi 100.
Leo hii kila siku ananiomba hela ya kula!
Kuwakopa yote ni ngumu 😅😅😅 ila 20M ningewagaia mpambane

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Mgumu04 said:
Angekuwa mfanya biashara ningemshauri ila hawa wastaafu vichwa huwa vigumu sana talking from experience.
Unamshaurije mtu ambaye hajawahi kufuga hata kuku

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Peasant educator said:
Bank savings account atapata riba ya 8% law mwaka ni si zaidi ya hapo ambayo kwa mwaka atalipwa 6.4m sawa na 535ktsh. Option nzuri anunue government securities ambayo ataweza pata hadi 15.9... %kwa mwaka netting twice as much yani 12.72m kwa mwaka sawa na 1.06mtsh kwa mwezi na wanakupa every six month baada ya uwekezaji. Tembelea tawi la stockbroker yoyte posta uweze saidiwa
Click to expand...
Hii hatifungani ni option nzuri zaidi kama una around 100M unapiga life zuri tu

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Sembinga said:
Vodacom juzi kati walitangaza hawatatoa gawio la faida kwa maana wamepata hasara. Sasa hizo fixed bank deposits na hati fungani haziwezi kuja kusema maneno kama hayo?
Serikali inakusanya mabilioni kila siku bandarini, manispaa, kodi na kadhalika inashindwaje kukulipa wewe million 1 kila mwezi?

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Solomon Mdogo said:
Achukue milioni 3 tu awekeze kwenye kilimo cha tikiti. Kila baada ya siku 75 anavuna. Net profit sio chini ya milioni 8 akilima eka 3 (za kuhenyeka hasa)

Faida yake ni kubwa sana akijitoa
Ushauri wa kipuuzi toka thread ianzishwe

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

macho_mdiliko said:
Mkuu naomba unitoe tongotongo. Hivi ukisema ''bond za miaka 20'' maana yake ni kuwa unaingia mkataba wa kuwaachia fedha zako kwa miaka 20 huku ukichukuwa ''faida'' tu?
Inasemekana unaweza kuuza muda wowote

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:macho_mdiliko
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Crocodiletooth said:
UPO VIZURI SANA WENYE ASSETS NDIO MATAJIRI,AND NOT HARD CASH,
kuwapa watoto hela sometimes its bad,BAADHI watafavya vyema baadhi wataziharibu na kuonja utamu wa fedha,hao waliofanya vibaya na hela wataanza maombi mabaya, (**bora afe, afii tuuu... and so so...).
Kuna ambaye namuona kashanunua iphone macho matatu tayari😂😂😂 na anabadili viwalo tu

Thanks Quote Reply
Report
  • Thanks
Reactions:Crocodiletooth
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Mparee2 said:
Kwa jinsi anavyo onekana yupo stable kimaisha nilitamani kusikia ametoa/atatoa shs 10M kwa ajili ya kusaidia watoto yatima ili aweke akiba ya MBINGUNI au pengine kubusti ndugu masikini.

Mwambia anunue bonds za bank kuu kwani security yake ni ya hali ya juu ila kabla ya hapo tunamshauri atenge fungu la kusaidia kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa kumpa kazi na kumlinda hadi kumstaafisha akiwa salama
Click to expand...
Mbingu ipi?

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Peasant educator said:
Asset sio lazima nyumba. Wabongo mnafeli sana na kuwekeza kwenye ujenzi bila ya taaluma ya real estate. FYI watu wanasomea iyo taaluma miaka mitatu ndo wanakupa na ujuzi wa kufanya maamuzi sahihi na sio kukurupuka na kujenga tu. Kuna financial asset na kuna sehem ambazo mstaafu anatakiwa awekeze especially baada ya kustaafu mana alishachelewa kuwekeza.

So anahitajistability na sio kurudi kazini tena kuanza shuhulikia nyumba na biashara. Awekeze kidogo kwenye financial assets na zengine aangalie JATU wana program nzuri na kwa yy atatumia 5million tu na atakuwa safe. Some 5m nyengine awekeze kwenye kilimo cha vanilla kwa kumwona vanilla international limited wamsaidie. Na 70million zilizo salia akanunue BONDS. au tafuta financial consultancy agency wakamshauri vizuri.

Atatumia 1-2million ila ushauri watakaompa utamuokolea mda na hasara . These agency ni muhimu na sio kukurupuka na kuja JF ushauriwe. Maybe sio mbaya coz ndo unapata ushauri wa kwenda financial consultancy agency na sio eti humu JF wakushauri uwekeze wap hela yako yote unayotegemea.
Click to expand...
Hao Vanilla international ni swala la Muda tu hata Mr.Kuku alikuja na mbwembwe zote za kujitia ana bima ya kuzuia hasara kwa muwekezaji toka AAR akawaokota maboya wake!

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Tangantika said:
Hio vanila si ndio watu wanapigwa.Kilo elf 20 wao wanadai kilo sh laki 5.Wadau humu wamesema hii vanila unachavusha mwenyewe, sasa huyo mstaafu aanze kuvizia chavua badala ya kupumzika.
We umepanda hio vanila utoe ushuhuda.
Vanila Int. ni Mr.Kuku iliochangamka, ni swala la muda kabla ya mvua za nyuzi za Vilio humu 😅😅😅 in the same manner as Mr.Ontario the CON GameGenius (CGG)

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Extrovert"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/355/355305.jpg?1598476995[/IMG]

Extrovert

JF-Expert Member​

Fereke said:
Kanunue bond Bot ndio suluhisho kuu.. Inalipa zaidi.
Kwa bonds za serikali ndio penyewe mfano kwa mtu kama Mwana FA au AY waliopiga 2B unaweza weka moja ikakaa kule ikawa inakupa 15% ya hela kila miezi 6! Ukawa unakunja 150M kila miezi 6 huku biashara zingine zinaendelea tu. Hapa umaskini utausikia kwa majirani tu

Ndio maana wenzetu ulaya ni matajiri tu sababu wana good financial plans!

Thanks Quote Reply
Report
I

Isike II

Member​

Kisoda James said:
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Click to expand...
Habari ya asubuhi, naomba tuwasiliane

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Mtoto halali na hela"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/96/96921.jpg?1361873437[/IMG]

Mtoto halali na hela

JF-Expert Member​

Kama haina cha kufanyia aniazime hapo 10 tu miaka mitatu hela inarudi na 2 zaidi, hii ni kama shukrani

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Kurunzi"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/17/17757.jpg?1620314921[/IMG]

Kurunzi

JF-Expert Member​

Kumbe unajua maisha hayako guarantee na ndiyo maana amewka akiba yake, sasa wewe unataka atapanye acha hizi, pambana na hali yako.
souljar said:
Acha izo mentality mzee maisha ni hapa hapa nothing is guaranteed, unashangaa familia nyingi baada ya wazee kufariki vijana ndio wanaanza kuishi kwa furaha mjini ni kutokana na izo mambo. What am saying is kama kuna wakusaidia wafanya ivo hamna haja yakuzifungia wakati yeye mwenye umri wake uko kwenye danger zone tayari kuna aja gani yakufanya ivo kweli maana uwezekano mkubwa ata yeye mwenyewe anaweza asizitumie si bora asaidie where possible.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Click to expand...

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Solomon Mdogo"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/632/632579.jpg?1623435717[/IMG]

Solomon Mdogo

JF-Expert Member​

Extrovert said:
Ushauri wa kipuuzi toka thread ianzishwe
Kiss your as* and move on

Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="MuksiniP"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/636/636613.jpg?1623833269[/IMG]

MuksiniP

Member​

Kisoda James said:
Mama yangu mkubwa amestaafu na kupewa milioni mia moja. Amechukua milioni 20 na kugawia watoto pamoja na kurekebisha nyumba yake kwa maana tayari alikuwa amekwisha jenga. Sasa amebaki na milioni 80 alikuwa anataka kuziweka bank ili asizitumie vibaya.

Alikuwa anataka bank iwe inamlipa kiaso cha 700,000 kila mwisho wa mwezi kutoka katika hiyo milioni 80 yake. Je kuna bank hapa Dar inatoa huduma hiyo. Hataki kufungua biashara nyingine kwa maana tayari anayo mabucha mawili ya nyama Ubungo na Sinza.

Msaada please.
Click to expand...
Mimi Nina wazo, but mtaji sina, tunaweza ingia makubariano na kunikopesha kiasi cha 2M,hyo pesa yako ukawekeza kwenye wazo langu, na nikawa nakurejeshea pesa yako kwa riba ya asilimia 100%, kama uko tayali naomba tuwasiliane 0622939257, 0717447020, sio ww tu hata kama kuna MTU anahitaji kuingia ubia na mm basi namkaribisha tuyajenge, Niko DSM temeke mtoni kwa azizi Ali
Nb;ukinipa hyo 2M nitakurejeshea 4M kwa muda tutakaokubaliana kufanya hayo marejesho.pia hii njia anaweza itumia kwa mtu yoyote yule muaminifu na ikawa inamzalishia pesa zaidi huku akiwa amestarehe tu.Asante
 
Mapindizi chanya Chief nimeku-pm.. tafadhali chungulia kwa droo yako hapo.
Kwanza hongeraaa Sana kwa kuweka fedha hiyo ,,,
Ushauri wangu wekeza kye nafaka hasa mchele ...
Fungasha mchele toka morogoro halafu lete masasi mtwara huku soko lake zuri mno na hutojuta huku mchele unaenda Sana ...
Ukiwa Tayari ni contact ndugu ,,, ntakua mwenyeji wako huku na kila kitu kitaenda sawa ...
Ukihtaji mchanganuo wa biashara hii ntafute
 
hakuna kitu kama hiki mkuu, kwa kawaida rate zote za kibenk ina wakilisha kipindi cha mwaka mmoja. ni ngumu kulipwa rate ya 13% pm kwa biashara au uwekezaji ambao hauna risk kubwa mkuu wote tungeweka pesa huko. siko vizuri kwenye tbills na tbonds lkn nadhan huko kunalipa zaidi.
 
hakuna kitu kama hiki mkuu, kwa kawaida rate zote za kibenk ina wakilisha kipindi cha mwaka mmoja. ni ngumu kulipwa rate ya 13% pm kwa biashara au uwekezaji ambao hauna risk kubwa mkuu wote tungeweka pesa huko. siko vizuri kwenye tbills na tbonds lkn nadhan huko kunalipa zaidi.
 
Back
Top Bottom