Huu urafiki wa Raila na Magufuli mbona wa siku nyingi tu. Kwasababu Magufuli amekua akienda kumtembelea Raila mara kibao. Mimi sioni athari ya ziara ya Raila naona ni ya kibinafsi zaidi.
Nakupa pole sana MNYISANZU
Maandiko yanasema: Usifunue utupu wa mwanamke na binti yake-Mambo ya Walawi 18:17
Tena mtu mume akimwoa mke pamoja na mama yake, ni uovu mkuu; watachomwa moto, yeye mume na hao wanawake pia...............-Mambo ya Walawi 20:14
adhabu ya umeiona!!!
Wakuu heshima kwenu! Naomba mnikaribishe ktk jamvi hili ambalo kwa muda mrefu nimekua msomaji tu, sasa naona kuna haja na mie niwe mchangiaji.
nadhani mtanikarisha vizuri tu.
Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.