Recent content by Mukheshi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kama sharia za kiislamu ziko hivi; naomba wasiruhusiwe kuwa na mahakama ya kadhi

    Hoja zako umezijenga ki mihemko hivyo unakuwa kama umeandika gari kwa mbele. Mfumo wa sheria za kiislamu ni mkamilifu na una misingi yake, kutokana na misingi hiyo, ndio sheria zingine zimezaliwa. Hili hulifahamu ndio maana umeleta hoja hii. Ungetaka kuzikosoa sheria za kiislamu ingeanza...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Bajeti: Kula milo mitatu sio lazima anza kujibana ondoa mlo mmoja kila siku save hiyo pesa

    Kupunguza matumizi mamkubwa kwenye kula ni sawa, ila kutokula kabisa eti Kwa sababu ya kusave, huku ni kujitesa.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Bajeti: Kula milo mitatu sio lazima anza kujibana ondoa mlo mmoja kila siku save hiyo pesa

    Huku ni kukosa matumaini ya kupata, Yani hadi mahitaji yako ya lazima unaona yanakupunguzia bajeti.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ungeulizwa uzaliwe kuja Duniani kabla hujazaliwa, ungekubali?

    Hii imenichekesha 😂sijui Kuna watu huwa mnawaza nini dah!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    Mada yako haijabalance Hebu jaribu kubadilisha kichwa cha mada kisomeke "Uislamu ni chanzo cha umasikini na kudidimiza maendeleo" Halafu ukiona kila taifa kwa kuzingatia hali za waislamu katika taifa husika, linaingia kwenye hizi hoja zako basi utakuwa upo sahihi. Na mimi ntakuuliza swali...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tofauti na Kiswahili, unafahamu lugha gani nyingine?

    I Bro itabidi uwe mwanafunzi wangu wa kiarabu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tofauti na Kiswahili, unafahamu lugha gani nyingine?

    Me tofauti na kiswahili, nazungumza kiarabu na kiingereza. Upande wa lugha za asili sikubahatika kuijua yoyote
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kuacha kazi kwa ajili ya ndoto zako ni ujasiri au ujinga !

    Inategemea, unaacha ajira gani na kuifuta ndoto gani....
Back
Top Bottom