CCM wanadhani wakitumia Polisi kuzima kasi ya viongozi wa CDM itasaidia kumbe ndio wanazidi kuwapaisha.Mtaishia kupigiwa kura za hasira tu kwa kutumia mbinu za kikoloni.
Ni kweli mkuu kama jinsi ambavyo kila mahali, kila sector uhalifu ni mwingi.Kila biashara ina namna yake kuifanya ili kupunguza nafasi ya uhalifu hivyo uzoefu nim muhimu pia.
Asante kwa tahadhari.
Kwa fikra hizi magari ya wajapani yasingeuzika maana ndio yaliyojaa barabarani maisha yanasogea.Alafu kama mtu anaweza kununua chombo kipya ni jambo jema nadhani unajua bei ya bajaji TVS King mpya zinauzwaje sasa na hazipo madukani tu unaenda unabeba bali kwa order otherwise upigwe bei za ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.