Recent content by Mujjih

  1. Mujjih

    PGDE ni kozi halali au haitambuliki

    Hivi kuna wadau waliosoma kozi ya PGDE humu, wakafanikiwa kuajiliwa na kuripoti vituo vya kazi wakafundiasha kwa bidii kisha kuondolewa kazini baada ya miezi3, eti kwa madai degree ya kwanza haihusiani na elimu? Kama wapo tujadili hili. Hivi kuwa na degree ya sheria mf au utawala then ukasoma...
  2. Mujjih

    Itel s31 inafaa?

    jamani mm ninayo kama iyo lakini betrii imevimba hatari saivi namtumia ikiwa kwenye chaji Bila ivyo inazima tu, sijui tatizo kimetoka wap maana mwanzo ilikua poa tu, ina mwaka tu
Back
Top Bottom