Recent content by Muite

  1. M

    Tegemeeni taarifa ya uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo kufungiwa kuanzia kesho

    Tff na Simba wamefanikisha lengo lao
  2. M

    UMEAHIRISHWA: JKT Tanzania vs Yanga | Ligi Kuu ya NBC | Uwanja wa Meja Jen Isamuhyo | 23/04/2024 Umeahirishwa

    Hivi unafikiri hao Tff wanaifurahia Yanga?? Hapo kinachotafutwa ni kutengeneza mazingira magumu kwa Yanga ili angalau afungwe au sare. Ule uwanja ni wa hovyoo sana
  3. M

    Je, umeshawai Kuota ndoto upo shule unafanya mtihani ilihali shule ulimaliza kitambo?

    Kuna wanachuo wachawi huwa wanatafuta vichwa vya maana viwafanyie mitihani.
  4. M

    Je, umeshawai Kuota ndoto upo shule unafanya mtihani ilihali shule ulimaliza kitambo?

    Ni vema wizara husika ikachukuwa hatua ili ratiba itolewe mapema watu wawe na muda wa kujiandaa. Au pengine huwa mnapewa quiz ila hamjui
  5. M

    Hivi Msumi ipo Dar es Salaam kweli?

    Hivi ndicho kipimo halisi cha akili ya muafrika. Imagine mtu anaanza kazi bila coordination na wadau wenzake muhimu. Nadhani kabla ya kuanza ujenzi ilitakiwa tayari kila mdau amehusishwa na kupangiana muda wa kuwajibika kwa kila mmoja yaani TANROAD, DAWASCO na TANESCO . Kuna ujinga mwingi...
  6. M

    Mayele na Feisal wanateseka moyoni

    Wanateseka kuliko wachezaji wa Simba waliofungwa. NB: Hongera sana Inonga kwa kukwepa lawama
  7. M

    Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

    Hata kama ni common, lakini una viashiria vya uropokaji na hutoshi kuaminiwa. Your mind is very limited. Wenye akili wameelewa. Bahati mbaya sana humu mnatumia fake name, nina uhakika wakubwa wako wangekufahamu wangekuweka mbali na nyaraka. Labda uwe tu msimamizi wa jiko
  8. M

    Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

    Kwa wewe ni basic knowledge. Halafu ukute wewe ni mtu na mavyeo yake kabisa
  9. M

    Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

    Hivi na huko majeshini mpo wenye kupenda masifa ya kisomo kama kule kwa kina Rweyemamu . Maana nimeona unavyojinasibu na hizo University zenu. Anyway my mind count that, lack of security consciousness for some individuals like you is a very big challenge. Imagine a layman like me I'm...
  10. M

    Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

    Kwa unyanyasaji huo UNGEJIONDOKEA ZAKO TU NA KUJISEMEA " KWANI NIMEFUKUZWA KWETU TZ" UNGESUSA INGELETA HESHIMA SANA
  11. M

    Israel inalindwa sababu ni mtego wetu Waafrika

    Daaah!!! Kutokujua MANTIKI ni tatizo la vichwa vingi vya watanzania. Kwahiyo ili uamini wewe ulitaka kumuona live Mungu akiiadhibu Ujerumani. Maandiko yanasema " Nitambariki atakayekubariki na nitamlaani atakayekulaani". Jiulize ni kwanini Marekani na Uingereza wamefanikiwa sana kuliko...
  12. M

    Israel inalindwa sababu ni mtego wetu Waafrika

    Na kwa kulitambua hili ndio maana Marekani imebarikiwa sana. Na pia alichokifanya Hitler ndicho kilichoiangusha ujerumani.
Back
Top Bottom