Recent content by Muite

  1. M

    Kenya kapigwa goli 3-1 na Gambia, English haijawasaidia

    English iwasaidie basi waweze ku qualify world cup
  2. M

    Jezi za Yanga ni mbaya sana. Uongozi wa Club MMEZINGUA

    Itakuwa wewe ni mmojawapo mlioaminiwa kutengeneza jezi za Yanga mkapiga hela. Mmetengeneza jezi mbaya yaani hata bure sivai mimi. Pumbavu zenu
  3. M

    Jezi za Yanga ni mbaya sana. Uongozi wa Club MMEZINGUA

    Injinia Hersi unajulikana jinsi ulivyo Makini lakini katika hili UMEHARIBU . Wenzenu Simba Jezi zao ni nzuri sana na quality ya juu sana, kwanza zinavutia na ukivaa unapendeza. Au jukumu la kutengeneza mlimuachia Ali Kamwe . Ukute katengenezea Kiboroloni kule Moshi WAKAPIGA HELA HAWA
  4. M

    Baada ya Mzize kukosa goli la wazi ndipo dili la nje likafutika ghafla

    Inasemekana timu iliyokuwa inamuhitaji ilikatisha ghafla mazungumzo na mipango ya kumchukuwa BAAADA YA KUONA KIJANA WETU AMEKOSA GOLI LA WAZI KWENYE MECHI YA TAIFA STAR Vs MOROCCO .
  5. M

    Hivi Mzize ni wa kucheza nje kweli

    Ni wa kawaida sana.
  6. M

    Hivi Mzize ni wa kucheza nje kweli

    Mbona amepewa CHAN akashindwa kuivusha Taifa Stars 🌟 halafu mchezaji makini hawezi kupoteza golden chance kama ile aliyobaki na kipa
  7. M

    Jezi za Young Africans kwaajili ya msimu ujao wa 2025-26.

    Kiukweli jezi za Yanga msimu huu ni za kawaida sana. Jezi za Simba za Pre season ni nzuri kuliko hizi rasmi za Yanga. Sema Yanga huwa wanafanikiwa kupiga Propaganda na Mashabiki zao wanajaa mazima. Ally Kamwe na wenzake wa Propaganda acheni tu walipwe hela nyingi.
  8. M

    Albert Msando, Mkuu wa Wilaya UBUNGO anatafuta Hela kinguvu kupitia makosa ya uonevu barabarani

    DC Albert Msando piga kazi mdogo wangu na wala usirudi nyuma. Usisikilize kelelewa za wajinga wanaokiuka sheria halafu wanataka waachwe tu. Binafsi ninakujua ulivyo smart kiutendaji. Nchi hii watu wengi hawataki kufuata sheria na taratibu, na hawataki kuwajibishwa wanapokiuka. Na ndio...
  9. M

    Hivi Mzize ni wa kucheza nje kweli

    Mbona jamaa ni wa kawaida sana huyu. Mzize ikitokea akapata timu nje ninadhani ndani ya miezi 6 watamrejesha Tz kwa mkopo
  10. M

    Chalamila mjanja sana. Kwa ahadi zile Alijua tu Stars haivuki

    Aliahidi hivi: 1. Kila mchezaji kupewe kiwanja Kigamboni 2. Kipa asiporuhusu goli anapewa gari Crown Mpyaaa
  11. M

    Israel ikifanikiwa katika mpango wake wa Greater Israel Watanzania tujiandae kupoteza Ziwa Victoria

    Pamoja na kuwa umelalia zaidi kibibia hasa agano la kale. Hata hivyo andiko lako linafikirisha japo uwezekano wa kutokea hiyo ni asilimia 00.5% na sio karne wala millennium hii. So far ahadi za Mungu ni timilifu muda wote. Lakini pia sisi Afrika tukumbuke kuwa hatuna uwezo wa kuzuia kile...
  12. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ila wewe jamaa una maisha ya taabu sana. Unautesa Moyo wako kwa kulazimisha mambo yasiyohalisia. Mapenzi yako kwa NATO na Ukraine ni makubwa sana lakini usijitese kiasi hicho. Ishinde roho ya chuki kwa faida ya afya ya Moyo
  13. M

    Hivi ni kwanini Feisal hana soko nje kama Mzize na Kibu D

    Hatuzungumzii hela anayolipwa Azam. Tunazungumzia ni kwanini hakuna timu ya nje yenye interest naye.
  14. M

    Hivi ni kwanini Feisal hana soko nje kama Mzize na Kibu D

    Mbona Suleiman Mwalimu Allenda Wydad akitokea Fountain Gate, angalia kina Msuva , Himid Mao nk hawajatokea Simba wala Yanga. Feisal Salum ni mchezaji mzuri ila nadhani kwa humu ndani tu. Pia propaganda za mashabiki wake zinamkweza sana. Na kenyewe sasa kanavyojiona kakubwa, kiburi kama chote
Back
Top Bottom