Hivi unafikiri hao Tff wanaifurahia Yanga?? Hapo kinachotafutwa ni kutengeneza mazingira magumu kwa Yanga ili angalau afungwe au sare.
Ule uwanja ni wa hovyoo sana
Hivi ndicho kipimo halisi cha akili ya muafrika. Imagine mtu anaanza kazi bila coordination na wadau wenzake muhimu. Nadhani kabla ya kuanza ujenzi ilitakiwa tayari kila mdau amehusishwa na kupangiana muda wa kuwajibika kwa kila mmoja yaani TANROAD, DAWASCO na TANESCO .
Kuna ujinga mwingi...
Hata kama ni common, lakini una viashiria vya uropokaji na hutoshi kuaminiwa. Your mind is very limited. Wenye akili wameelewa. Bahati mbaya sana humu mnatumia fake name, nina uhakika wakubwa wako wangekufahamu wangekuweka mbali na nyaraka. Labda uwe tu msimamizi wa jiko
Hivi na huko majeshini mpo wenye kupenda masifa ya kisomo kama kule kwa kina Rweyemamu . Maana nimeona unavyojinasibu na hizo University zenu.
Anyway my mind count that, lack of security consciousness for some individuals like you is a very big challenge.
Imagine a layman like me I'm...
Daaah!!! Kutokujua MANTIKI ni tatizo la vichwa vingi vya watanzania.
Kwahiyo ili uamini wewe ulitaka kumuona live Mungu akiiadhibu Ujerumani.
Maandiko yanasema " Nitambariki atakayekubariki na nitamlaani atakayekulaani".
Jiulize ni kwanini Marekani na Uingereza
wamefanikiwa sana kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.