Ukimkana Zitto, umeukana uzalendo wako. Siasa ni mchezo mchafu. Madudu ya nchi hii huonekana kwa jicho pevu. Anayeitwa msaliti Tanzania, ndiye msemakweli kwa critical thinkers. Think Big to Get Big results. Zitto ni mwiba kwa Chadema, Mafisadi na Serikali kwa ujumla. Kwa namna yoyote, mabadiliko...