Recent content by Muhumba wa Mukinyaa

  1. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

    Mpe ya kwetu, Gwao,Alute, Mtemi, Ng'imba,Munkenyi, Nyonyi, Nkuwi,Mughwai(Tajiri), Iyunde,Chima, Khalicki, Njou
  2. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI acheni kiburi

    TAMISEMI Mungu anawaona!
  3. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    Coffee bar Tanga,nyuma ya Eckenford Small World Makumbusho karibu na fundi CHONGA Heko bar - Knyama njia ya kwenda kwa Ali Maua Godwin Bar opposite na Mabatini POLICE Urafiki bar Sinza karibu na BOT flat Kwa Dave Knyama darajani Kwa Mama Bar,Makumbusho MwanaMkude Bar,karibu na Makumbusho...
  4. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Nyari yupo Kiongozi ingawa umri umeanza kusogea,nilimuona mwaka huu 2024 mwanzoni,maeneo ya Stendi KUU ya Mabus Arusha,akikagua kibanda chake cha biashara na watu wa Jiji,
  5. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Wakati tuko Busy na Yanga na Simba watu wanagawana nchi

    Naunga MKONO hoja,..Watanzania tuamke,la sivyo miCCM itatumaliza
  6. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    Chaga Bites Makumbusho bus stand
  7. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Bunge siyo sehemu ya kumwagiana sifa wala uwanja wa kampeni, mnatia aibu!

    Hapo kila Mbunge,anawaza Ubunge 2025, unaibu waziri n Uwaziri...full kusifia
  8. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi Rais kutajwa kwenye kila kitu?

    ...ni kama ule upuuzi wa kutambua kila mgeni mualikwa kwenye DHIFA, address wakubwa wawili,wengine sema ITIFAKI imezingatiwa,mwaga MAMBO..sio porojo porojo tu
  9. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, Kassim Seif Ndumbo

    Vetting vetting system iboreshwe..Libakaji huwa libakaji siku zote,lazima limeshawahi fanya SHAMBULIO huko nyuma
  10. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Bunge siyo sehemu ya kumwagiana sifa wala uwanja wa kampeni, mnatia aibu!

    CCM ni JANGA..tuikatae na mambo yake yote!
  11. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Mbunge Francis Mtinga: Watendaji wa Kata Waajiriwe na TAMISEMI, sio Utumishi

    Mbunge ni kama anahoja,asikilizwe
  12. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

    Kama kweli wanafanya hivyo ,WAACHE CC: Wizara ya Mambo ya Nje
  13. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu CCM kumpinga RC Arusha kimafumbo anataka kumfurahisha nani?

    Acha BASHITE awavuruge haswa hadi wasipate muda wa kutuibia zaidi
  14. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

    Mheshimiwa Waziri Mchengerwa hebu tueleze shida ni NINI? hadi leo majina ya wanaoomba UHAMISHO hayajatoka hata kwa wale,wanaojigharamia wenyewe..
  15. Muhumba wa Mukinyaa

    JamiiForums Tanzania Mtambo wa pili bwawa la Nyerere kuwashwa, kumaliza kabisa mgao wa umeme nchini

    Kwa hili la UMEME naipongeza Serikali,sasa tunaweza jiita Serikali ya ViWANDA,KUDOS!...twende na mengine hasa Usafiri wa Umma Dar Es Salaam + Miundombinu ya barabara
Back
Top Bottom