wasambaa wakinunuliwa tu chupa za kahawa basi Makamba kapita tena ila barabara za jimboni sasa ,miaka 15 madarakani lakini hakuna hata tone la lami oya ni kugumu sikia tu iyo soni -bumbuli au mgwashi -soni au bumbuli -mahezanguru duuuh barabara ni tope jekundu la uji uji.
habari ! Hakika kuna watu hata usipowapenda lakini wanajua kujibrand ,Arusha hakuna vyombo vya habari vingi kama Dar ,Arusha hakuna Mastaa wengi kama Dar ,mastaa kule ni wadudu ,cha ajabu Makonda aliiteka Tanzania kwenye media zote kwa ubunifu wake mara land rover festival n.k .
Nashauri tena...
umeokoa maisha ya wengi sana ,yaan kwa taarifa hii wewe ni mzalendo haswa na wala sio uzalendo wa kufia chama bali wa kuwajali watanzania wenzio na kuitakia heri Tanzania ,Mungu akubariki sana
mekumic siku hizi huipiganii tena dini ya mwenyezi Mungu ..nilikua nazisoma sana nukuu zako na kuzitafakari kwa mapana yake ,japokuwa zingine huwa zina ukakasi mwingi sana
wasaalam,
Ofiisi za Nhif TANGA mna uzembe uliopitiliza maana haiwezekani watu waombe vitambulisho vya Bima ya Afya kuanzia Novemba 2023 hadi leo havijatengenezwa, halafu confortably mnajibu eti kuna idadi kubwa sana ya watumishi walioomba, mbona michango yetu mnapokea kila mwezi hamsemi...
Tamisemi please toeni vibali vyetu tuhame maana wengine ndoa zitakufa na pia morali kazini hatuna maana kisaikolojia akili haijatulia nawaza matatizo ya familia ilioko huko niliko omba hamia ,aya majibu yenu ya kuwa mda wowote kuanzia sasa vibali vitatoka sio fair,maana kuanzia mwaka jana mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.