Recent content by muhoozi

  1. muhoozi

    Ushauri: Nataka kuhamia Tanga

    ndg yangu nipo tanga mwaka wa kumi huu kikazi napambana sana kuhama .hakuna fursa huku usijaribu kuja tanga
  2. muhoozi

    PreGE2025 Wabunge wa CCM ambao wanatakiwa kuaga Majimbo yao na kujihusisha na ufugaji wa kuku 2025-2030

    wasambaa wakinunuliwa tu chupa za kahawa basi Makamba kapita tena ila barabara za jimboni sasa ,miaka 15 madarakani lakini hakuna hata tone la lami oya ni kugumu sikia tu iyo soni -bumbuli au mgwashi -soni au bumbuli -mahezanguru duuuh barabara ni tope jekundu la uji uji.
  3. muhoozi

    Je viatu vya Makonda vitamtosha Kenan Kihongosi

    habari ! Hakika kuna watu hata usipowapenda lakini wanajua kujibrand ,Arusha hakuna vyombo vya habari vingi kama Dar ,Arusha hakuna Mastaa wengi kama Dar ,mastaa kule ni wadudu ,cha ajabu Makonda aliiteka Tanzania kwenye media zote kwa ubunifu wake mara land rover festival n.k . Nashauri tena...
  4. muhoozi

    DOKEZO Mbeya: Kemikali za kuivisha Ndizi zimehamia katika matunda mengine, Wataalam wa Afya watueleze kama ni salama

    umeokoa maisha ya wengi sana ,yaan kwa taarifa hii wewe ni mzalendo haswa na wala sio uzalendo wa kufia chama bali wa kuwajali watanzania wenzio na kuitakia heri Tanzania ,Mungu akubariki sana
  5. muhoozi

    Hii dawa inatibu nini jamani

    mekumic siku hizi huipiganii tena dini ya mwenyezi Mungu ..nilikua nazisoma sana nukuu zako na kuzitafakari kwa mapana yake ,japokuwa zingine huwa zina ukakasi mwingi sana
  6. muhoozi

    PreGE2025 January Makamba Mbunge wa Bumbuli (CCM), Bumbuli wanasema hivi

    mmmh,haya bwana wasalimie sana hapo kweusolo na kicheba
  7. muhoozi

    Kama hakuwa malaika basi mtu yule Mungu alimuongoza anisaidie

    bro kamali zinaachika ni mindset na kukataa kuongozana na watu wanaokushawish betting,keep yourself busy
  8. muhoozi

    Uzembe uliopitiliza ofisi za NHIF mkoa wa Tanga

    wasaalam, Ofiisi za Nhif TANGA mna uzembe uliopitiliza maana haiwezekani watu waombe vitambulisho vya Bima ya Afya kuanzia Novemba 2023 hadi leo havijatengenezwa, halafu confortably mnajibu eti kuna idadi kubwa sana ya watumishi walioomba, mbona michango yetu mnapokea kila mwezi hamsemi...
  9. muhoozi

    Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko

    Tamisemi please toeni vibali vyetu tuhame maana wengine ndoa zitakufa na pia morali kazini hatuna maana kisaikolojia akili haijatulia nawaza matatizo ya familia ilioko huko niliko omba hamia ,aya majibu yenu ya kuwa mda wowote kuanzia sasa vibali vitatoka sio fair,maana kuanzia mwaka jana mwezi...
  10. muhoozi

    Tanzanialeaks apuuzwe, Hazina haijafilisika

    mheshimiwa kwani mkoa wa Mara ni kisiwa au?? na sisi tunahitaji SGR pia,sisi pua tunaomba tuwekwe kwenye mpango
  11. muhoozi

    CHADEMA kususia chaguzi ndogo ni kuwanyima haki wananchi na wanachama hai wa CHADEMA

    hapana hawajashiriki kabisa na wananchi tumeumia sana Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom