Recent content by Muheza 1

  1. Muheza 1

    Julius Mtatiro: Kwanini Serikali inahusishwa na kushambuliwa kwa mwanasheria Tundu Lissu?

    Chacha Wangwe yuko wapi?? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Muheza 1

    Hatimaye Tundu Lissu ameweza kuongea akiwa Hospitalini; '"Mwenyekiti, I survived to tell a tale, Please keep up fighting"

    Mgombea urais wa chadema 2020 ni Lowasa au Lisu?? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Muheza 1

    Hatimaye Tundu Lissu ameweza kuongea akiwa Hospitalini; '"Mwenyekiti, I survived to tell a tale, Please keep up fighting"

    Cha kushangaza Miga na Acacia hawajatoa pole Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Muheza 1

    Padri Mapunda: Wapinzani sio maadui, Mfalme Suleimani hakujifanya Mungu mtu. Magufuli ajifunze

    Kuanzia sasa rais wa mioyo ya nyumbu ni Lisu siyo Lowasa tena!! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Muheza 1

    Wakili Tundu Lissu amekuwa akisaidia bure kesi za washitakiwa wasio na uwezo kifedha ..Mahakama ya Kisutu

    Kwa mabilioni anayohongwa na Acacia lazima atajikosha kwa wananchi ili aonekane mtetezi wa wanyonge Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Muheza 1

    Kama Rais kashindwa kusimamia Usalama wa wananchi wake maana yake nchi imemshinda.

    Kwa hawa watetezi wa wazungu hata akishindwa kuwalinda safi tu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Muheza 1

    Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

    Pamoja na kwamba chadema walishangilia polisi walipouliwa na majambazi lakini bado chadema hao hao wamekimbilia polisi baada kupata matatizo!!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Muheza 1

    Dodoma: Dereva wa Tundu Lissu, Dr. Mashinji, Watakiwa kuripoti Polisi, Magari 8 Nissan Patrol yakamatwa

    Nadhani chadema sasa wataacha tabia yao ya kushangilia majambazi yanapoua polisi Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Muheza 1

    Julius Mtatiro: Kwanini Serikali inahusishwa na kushambuliwa kwa mwanasheria Tundu Lissu?

    Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga. Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu. Bado hamjachelewa Miga na Acacia...
  10. Muheza 1

    Je, Uongozi huu unalinda usalama kwa ajira/uwekezaji/biashara/haki zako?,2020 piga kura kwa maono?

    Kwa kuwa sisi ni nyumbu utawapigia kura watetezi wa wazungu, Miga na Acacia. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Muheza 1

    BAVICHA: Tutawashughulikia watu wasiojulikana kwa njia zisizojulikana kama Polisi imeshindwa

    Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga. Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu. Bado hamjachelewa Miga na Acacia...
  12. Muheza 1

    siasa za upinzani zinadhalilisha utu wa watanzania.

    Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga. Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu. Bado hamjachelewa Miga na Acacia...
  13. Muheza 1

    Wameuawa Polisi 10 Viongozi wa vijiji 30 na Raia 3 huko Kibiti,Ikwiriri na Mkuranga..Wanaharakati kimyaaa!

    Ni jambo la kushangaza kidogo hawa marafiki wa Lisu mpaka sasa hawajatoa pole yoyote kwa mtetezi wao mkubwa aliyepatwa na janga. Lisu ndio alikuwa mtetezi wao mkubwa hivyo tunawasihi wamkumbuke mwenzao wakati wa shida na siyo kumtumia wakati wa furaha tu. Bado hamjachelewa Miga na Acacia...
  14. Muheza 1

    Wameuawa Polisi 10 Viongozi wa vijiji 30 na Raia 3 huko Kibiti,Ikwiriri na Mkuranga..Wanaharakati kimyaaa!

    Tena chadema walikuwa washangiliaji wa hayo mauaji Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Muheza 1

    Polisi kamateni huyu kwanza na wengine wenye tabia hizi

    Chadema huwa wanashangilia sana polisi wakiuawa na majambazi Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom