Hii nchi kuwa mzalendo ni upumbavu, jitu linalipwa 18m per month nurse au mwl anadai malimbikizo ya mshahara sh.laki tano analipwa baada ya miaka 10 hela hiyohiyo na kodi juu, kama siyo upumbavu ni nini
1.Ngono kwa kwenda mbele,watu wamepewa mi GP mikubwa kwa kugawa uroda kwa lecturers na haohao unakuta wameajiriwa hapo hapo chuoni unategemea nini.
2.Kuna ukabila wa kutisha, watu wanabebana kwa misingi ya kikabila wanapeana tu hiyo mi GP then wanapeana ajira vyuoni unategemea nini.Cheki Mzumbe...
Mama angevunja baraza la mawaziri, apige chini wakuu wa mikoa na wilaya aweke vijana waliotoka vyuoni juzi aone watakavyopiga kazi siyo hii mizee inayojidai kujua kazi hakuna lolote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.