Ulieandika post hii nadhan umekunywa gongo, SIJAELEWA KAMA CDM Wanahusikaje na kudahili wanafunzi watakao jiunga na vyuo vikuu. Aidha kama hujui kaz ya kudhahil wanafunz inafanywa na wateule wa MAGAMBA hvyo ndo unatakiwa kuwauliza hao waliokosa nafas ya kujiunga na vyuo waende wapi. Hata hvo...
Mkuu "The people nakupa pole kwa kupotelewa na mbunge wako , sisi huku pinyiny alipta mara ya mwsho wakat wa kura za maon hadi leo hakuja hata kusema asanten. Ningejua ningeshawish wamasai wenzangu tumpitishe mzee mmoja aliekua anagombea nae tena alikua mzee mzur sana anaitwa Pius Pongo huyu...
mkuu ongezea no 13: RSO(AFSA USALMA MKOA). 14:WAZIR WA ARDHI NYUMBA NA MAKAZ. 15: NAIB WAZIR WA MAJI. 15: NAIB WAZIR WA ELIMU aka majaliwa. Sambamba na wakuu wa idara zote wa halimashaur. Ongezeen wengne wadau
Wadau tarafa ya sale ,hapa namwona mzee wa wapigwe tu anapata kikombe cha babu na baada hapo anapta digo, mugholo(gheeri), na kupitia ngarasero. Ameshangaa kuona bendera za CDM zikipepea juu ya paa za nyumba za nyasi na katka nyumba za bati. Chezea mabadiliko wewe hata huku home sonjo...
Dah, kweli hapa PM ameshndwa kutamka kauli tulioisubir kuwa eneo alilopendekeza kagasheki sasa amelipunguza na badala yake anasema hivyo inamaana tuingie hukohuko kwa mwarabu tukajichanganye wote.wakat mwaarabu anawinda sisi tuanachunga rahaaaaa kwelkwel kwa kauli kama hiz. PINDA KIJORI...
OOYEEEE MAAA! Ehomo Ngulugoni lewa. Mkuu mm nilikuwepo kiukwel jamaa ame2fanya kama mateja eti "tuendelee kama tulivyokua" tujipange maaa! Tukachunge na tupeleke ng,ombe wetu wooote kuko na hata majiran wetu wa kenya tuwakarbishe tena waje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.