Recent content by Mugabe Jr

  1. Mugabe Jr

    Baba kakasirika baada ya mdogo wangu kuachana na kozi ya sheria aliyomshauri asome

    Je wale wanaosoma bachelor ya elimu ya dini ya kiislamu with law inaitwa kitu kama vile bachelor OF SHARIA WITH LAW,,, PALE CHUO CHA MOROGORO (MUM) wao wanatambulika kama wanasheria na wanaruhusiwa kujiunga na law school
  2. Mugabe Jr

    Leo tar 12 April 2022, Serikali yatangaza Ajira mpya na kupandisha madaraja wafanyakazi. Zaidi ya billion 40 kutumika

    Labd ualm ndo wamezoeshw hivyo. Kada nyingn Hamnaga kitu cha aliyemaliza zaman wote n gombania goli
  3. Mugabe Jr

    Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

    JAMANI MWALIMU ANATUDHARAU SISI MADEREVA. HAJUI HATA MWALIMU PIA NI DEREVA ANAYEWAONGOZA WANAFUNZI WAKE. [emoji16] ]
  4. Mugabe Jr

    Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

    KWELI HII KADA WANALIA LIA SANA!!!! Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
  5. Mugabe Jr

    Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

    Wivu upi chifu? NI TAASISI UCHWARA AMBAYO INAWEZA KUMUAJIRI MTU KWA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI. LABDA ANGESEMA AMEANZA KAZI ZAMANI HIVYO ANA EXPERIENCE YAKUTOSHA, ILA KIGEZO CHA KUMALIZA ZAMANI NI CHA KIPUUUZI. Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
  6. Mugabe Jr

    Wahanga wa ajira za walimu ni wahitimu wa mwaka 2015 ambao bado wako mtaani ajabu ni kuwa wanaachwa na kuchukuliwa wa 2019

    [emoji16] wewe kweli mwalimu mbona napatwa mashaka? Hebu pita hapo N. I. T uniambie umekuta ma housgirl wangapi? Kama driving anafanya yoyote wewe na housgirl wenu mnasubiri nini sasa kutuma maombi ajira portal? Mpaka unakuja kulia lia huku eti umemaliza zama za kati za mawe [emoji16] uhurumiwe...
Back
Top Bottom