mwanza imeipita Arusha pakubwa tu, kwanza kimiundombino, Mwanza ipo katika njia kuu ya uchumi wa nchi (central corridor), ina uchumi wa bluu (uvuvu, usafiri wa meli, ufugaji samaki etc), mwanza ni makazinmwa matajiri wengi wachimba madini huko Geita (kwahiyo Arusha hamna maajabu na mererani kuwa...
zingatia neno ukirudi utakimbiliwa kupokewa, hiyo hela ukiwaachia ukirudi hawakukimbilii maana hauna cha kupokelewa
halafu mitoto itajua mama ndiye mnunuzi wa vitu, bila kuzingatia baba ndie mtoa hela, ila ukirudi navyo mwenyewe, watoto hawatosahau kuwa baba alikuwa hodari analeta vitu nyumbani...
hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho, hakuna marefu yasiyo na ncha, CCM ina mwisho wake, ila huo mwisho utakuwa ni bonge moja la simulizi la kusimuliwa miaka ya 2100 na 2200 huko
sasa ili hiyo stori inoge pindi vitukuu vyetu wanasimulia wajukuu zao, hali lazima iwe ngumu ili stori iwe na...
unaambiwa mradi wa mwendokasi ndio biashara ya kwanza duniani kufa kisa imezidiwa na wateja
ila mimi ninachokiona, mradi ulipoanzishwa, alipewa mtu asiye na uzoefu wa biashara ya usafiri kusimamia, halafu mate yakawatoka kwa yale manilionibya nauli yaliyokusanywa wakaona mradi ndio pa kupigia...
mbona watu wamezaa na wachina na hao waarabu??? wewe kweli unataka mke au demu wa kugongaga? kama demu kweli kwa wazungu utapata ila hao wachina na waarabu bado wana mtazamo wa kinyakyusa, kugongana hovyo kwa mwanamke kwao ni umalaya, hawagawi hovyo
Kuzaa na kulea watoto??? Hiyo sio kazi ???
Fikiria anatumia maisha yake kuzaa na kulea kizazi kinachobeba jina la ukoo wako na sio ukoo wake yeye.
Mitoto yako pengine haina hata shukrani, anaizaa kwa uchungu, anainyonyesha na kuifuta mavi hadi wawe wakubwa, huo muda si angeutumia kujitafutia...
Yani wewe unapick mstari mmojammoja bila kuleta sura nzima, unajua kuwa hiyo mistari inaendana na sura inachozungumzia. Unachofanya hapo ni upotishaji, maana unatoa aya bila context
Hichohicho ndio mtoa posti alitakiwa kufanya mtoa mada.
Picha linaanza kakosea kunukuhu, kaandika jina la mdahalo ni Jesus vs Mohammad, kana kwamba kutakuwa na battle,
Wakati jina la mdahalo ni Jesus and Muhammad
Hakuna battle yoyote hapo kutaka kuzua taharuki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.