IGP inabidi ajiuzulu kwa kushindwa kazi yake.Yeye kama mkuu wa jeshi la polisi lenye dhamana la kuwalinda raia alishindwa kujuwa kuwa alikuwa na askari wauza unga au alijuwa lakini aliendelea kuwaficha mpaka mwanasiasa ndio amekuja kuwafichua.
Kikwete watanzania wataiondoa ccm madarakani kwa njia ya kidemokrasia ya kupiga kura na wala huna haja ya kuleta vifaa vya kupambana na mapinduzi ya kumwagika damu.
Nafikiri ipo haja ya kuiomba azam tv iwe live siku ya tarehe 25 na ipeleke ripota wake ktk kila wilaya atleast na huyo ripota awe na wasaidizi wake kika kituo na ripota wa wilayani apekeke Dsm kila matokeo anayoyapokea na yawe yanajumlishwa live ktk tv.wakihitaji wadhamini azam wasaidiwe
Inasikitisha sana kuona kuwa rasimu ya katiba iliyokuwa ikiungwa mkono na zaidi ya asilimia 60 ya watanzania iliyeyuka hivi hivi kupitia kwa wale tunaowaita wawakilishi wa wananchi tuliowachagua wenyewe (wengi wao).
Hao wawakilishi wetu walikuwa mwanzoni ni watetezi wa katiba ya walio wengi...
Katika kutapa tapa kwenu CCM naona munahonga hela kama muna kiwanda .Ole wenu UKAWA ikichukuwa madaraka na kupitia mahesabu m
na ikigundulika kuwa munatumia hela ya serikali katika sakarat lmauti yenu basi kila muhusika atakuwa na kesi ya kujibu.Na kama Magufuli anatumia ndege ya serikali ktk...
jamani muachieni Nape naye apate atakufa njaa akikosa ubunge maana baada ya kushindwa uchaguzi uongozi wote wa ccm utavurugika wasitambuene tena.Si hasha ukamkuta Nape yupo kariakoo na mitumba yake
Ccm wanatafuta sababu ya kuanzisha fujo wapste kuakhirshs uchaguzi wamesjindwa kablavya kuingia uwanjani.makini...!!
Na najua hili limetokea baada ya kuona mafuriko ya Lowassa ya juzi...!!
Sbb Magufuli alianza 3 weeks ago akifanya maandamano na mikutano hakuna CHOCHOTE JESHI LA POLISI...
kheri hivyo alivyoondoka kibaraka huyu maana alitaka apeperushe bendera ya ukawa na halafu aje amwage vimbwanga one week be4 election na awaache ukawa wakiwa uchi bila ya mgombea
inawezekana kabisa kwani sio lazima aende kila wilaya kwa mfano kule Pemba kuna wilaya nne anaweza kuzifilia zote kwa kuwahutubia watu wote sehemu moja na kwa Ungujua anahitaji siku tatu kwa kuhutubia kila mkoa mara moja and so on
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.