Nonsense! Kwani ile ya Raisi si ipo? Na kama vipi si wapeleke malipo kamili turudishiwe ndege yetu?
Zaid km ni muhim si wabadilishe wapeleke nyingine hiyo irudi?
Iko hivyo maana Raisi wa Zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri ambalo linaapishwa na kusimamiwa na Raisi wa JMT au Makamu wake.
So VP wa JMT ni boss wa Raisi wa Zanzibar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.