Recent content by Muddy123

  1. Muddy123

    Natafuta kazi au kibarua

    Nikampun gan na naipataje ili nijue mchakato wao
  2. Muddy123

    Biashara ya uwakala wa simu na benki (M-Pesa, Airtel Money, Tigo Pesa, fahari huduma na NMB Wakala) unaweza kuanza kwa mtaji wa shilingi ngapi?

    Km unamtaji mkubwa Fanya ila km unavimtaji vya laki tank cnui milioni Moja acha itakuumiza kichwa
  3. Muddy123

    Natafuta kazi au kibarua

    Sawa nakuja chap
  4. Muddy123

    Natafuta kazi au kibarua

    Acha kupindisha maelezo.....maudhui kamili nikazi yyte we umeishia kuelewa hapo tu
  5. Muddy123

    Natafuta kazi au kibarua

    Naitwa Mudi mkazi wa Mbagala umri mika 30. Natafuta kazi au kibarua cha kufanya popote ndani au nje ya Dar kikubwa iwe ya uhakika na pia nimesomea Ualimu wa Masomo ya Sanaa Geography na History Niko tayari kwakazi yoyote itakayopatikana iwe ni kiwandani au kampun au shule Namba yangu ni 0693206150
  6. Muddy123

    Nataka kufahamu utaratibu wa kupata Temporary Permit ya kuingia Kenya

    Siwezi kueleweka kwasababu haya mambo ni mageni kwangu kwahiyo nifafanulie wewe nifahamu kama in passport nijue au km ni Permit nijue.. mimi nilisikia Kuna kibari cha mda mfupi sasa cjui ndio passport au mini ndiomana nimekuja hapa kuupata muongozo nasio kejeli wala malumbano
  7. Muddy123

    Nataka kufahamu utaratibu wa kupata Temporary Permit ya kuingia Kenya

    Khaaaa!!! Bro umejibu mini mejitqid an kurudia coment yko lkn sijaelewa umejibubkitu gan km vile umezua mjadala mpya tofaut na shida iliyoulizwa
  8. Muddy123

    Nataka kufahamu utaratibu wa kupata Temporary Permit ya kuingia Kenya

    Ndugu zangu Nipo Dar es Salaam, Nataka kufahamu utaratibu wa upatikanaji wa Kibali cha Muda cha kuingia Kenya najua njia za shortcut zipo ila mimI sitaki hizo nataka kufahamu utaratibu wakupata official temporally Permit ya kuingia Kenya. Ofisi ziko wapi na kuna malipo au la, na nahitqjika...
  9. Muddy123

    Ni kweli kwamba kupata ajira GardaWorld Security sasa hivi lazima uwe na cheti cha Chanjo ya Covid?

    Vzr sana...nipe mchongo tunapataje mtaji wakufanya uchinga mana ata hii smart nayotumia sio yangu ningeuza nipate mtaji niwe chinga
  10. Muddy123

    Ni kweli kwamba kupata ajira GardaWorld Security sasa hivi lazima uwe na cheti cha Chanjo ya Covid?

    Naskia kupata ajira Garda Security saivi lazima uwe na cheti cha Chanjo ya Covid...hivi nikweli ?!!
  11. Muddy123

    Naomba msaada wa mtu kunidhamini nipate kazi GardaWorld Security

    H
  12. Muddy123

    Uhitaji wa ajira

    Mm nahitaji sana Ndugu...nipe namba nikutafute
  13. Muddy123

    Natafuta kazi yoyote halali viwandani au kwenye kampuni

    Vya udhamini lazima wawe wafanyakazi wenye vitambukisho vya kazu au lesen za biashara sasa wengne ndo tuko mjin kutafuta hao watu unawapata wapi wakukudhamin ...kitaa MTU akisikia kudhamin anajua tyr kesi hyo
  14. Muddy123

    Natafuta kazi yoyote halali viwandani au kwenye kampuni

    Doh ila wameweka vigezo vigumu kwa wadhamini had inakatisha tamaa
Back
Top Bottom