Danya na we pumba kabisa,jf ndo kila kitu watu wanapata udambwidambwi we unataka taarifa upate vp......vumilia kusikia baya na zuri,,,,sio uambiwe mazuri tu utakuwa hujatimia......
Nyie mnaojifanya mmesoma km kiswahili andika kiswahil,km kiingereza andika kiingereza sio kiswanglish hatuwaelewi,km wasomi wenyewe ndo nyie hata udiwani msiutafute......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.