Recent content by Mudathru

  1. M

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza nafasi za kazi kwa watendaji watakaosimamia Uchaguzi

    Si kweli, hiyo ni fulsa kwa watumishi wa umma na wala sio wasomi... Bado kuna kipengele
  2. M

    PreGE2025 Wasira kutaka kukutana na CHADEMA ni wazi nguvu ya umma kwenye mikutano yao, imeitisha CCM, wasikubali. Serikali inajua inapaswa kufanya nini

    Hadi sasa sio ccm sio chadema sijaona mwenye kustahili kuongoza nchi hii... " nchi masikini hazihitaji demokrasia ya kibepali, na ikiwa hivyo basi ujue nchi itakuwa masikini kwa karne zijazo ila watakao neemeka na umasikini huo ni viranja wa kidemokrasia".
  3. M

    Kuna office nimeitembelea leo,office nzima mpaka mkurugenzi hawajui kuongea Kiingereza

    Matokeo ya ukoloni mamboleo... Kwa utafiti wangu wa awali, kizungu kwa kushirikiana na kiserikali vimechangia kupoteza wanasayansi na wataalamu wengi katika nchi zenye watawala wenye mawazo kama yako. Tukibadilika hapo tu baaaasi tumetoboa....
  4. M

    PSRS NA WAZIRI WA ELIMU HOI...!

    Asha kuum! Si matusi... Niwapongeze PSRS na wizara inayohusu mambo ya elimu kwa ugunduzi huu wa usaili kwa kada ya uwalimu kwa hakika tunaweza kupata walimu bora kama mnavyo jinadi kwenye majukwaa. Usahili wa walimu umefanyika na unendelea kufanyika kwa malengo yale yale ya Prof. Mkenda ila...
  5. M

    Walimu Laki Mbili kugombea Nafasi elfu Kumi na Moja. Wanaotakiwa Oral interview NI elfu arobaini na nne

    Scale ya malipo kwa watumishi wa umma haina tofauti kulingana na madaraja yao ya kazi na viwango vyao vya elimu.
  6. M

    Walimu Laki Mbili kugombea Nafasi elfu Kumi na Moja. Wanaotakiwa Oral interview NI elfu arobaini na nne

    Vipanga bongo hii? Labda pasiwe na connection. Hizo div zenyewe tu ni za kimkakati...
  7. M

    Waalimu jiandaeni Kwa Written kuanzia alhamis ijayo.

    Hakuna neno bahati kwenye nchi ya namna hii labda wasaili wangekuwa malaika...
  8. M

    Waalimu jiandaeni Kwa Written kuanzia alhamis ijayo.

    Upo sahihi sana ila hata hawa waosubili ajira wanatamani wangekuwa wanajishughulisha ila tatizo kubwa ni kwamba hakuna mahali kwa nyakati tulizo nazo unewaza wekeza nguvu na akili bila mtaji wa fedha. Tusijidanganye eti unaweza kujiakili kwa mtaji wa 50 elfu, hapo nikutafuta ela ya kula tu.
  9. M

    Kama Maboresho ya Reli ya TAZARA ni ili tutumie treni ya dizeli tukatae huo mradi

    Bila ukatili na roho mbaya nchi kama hii huwezi kufanya chochote cha maana zaidi ya kucheka cheka tu.
  10. M

    Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

    Wanalaumu kwa sababu watu wake walio wengi hawaaminiki.
  11. M

    Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

    Upo sahihi sana ila... Sijui!
  12. M

    Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

    Ila kilichotokea kimesitusha kidogo... "Unaona kisha huoni"
  13. M

    Application za mkopo HESLB

    Sawa mkuu nitakucheki
Back
Top Bottom