Recent content by Muchungaji

  1. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Natafuta Mwl tubadishane kituo aje Mbeya Kyela mjini mimi nije Morogoro Manispaa au Mvumero tuwasiliane 0765602557
  2. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwl wa sekondari tubadilishane njoo kyela mjini(Mbeya) mi nije Manispaa ya Morogoro au Mvumero. Napatikana kwa 0765602557
  3. M

    Waziri Tizeba aamua kuondoka hotelini baada ya bili ya 100milioni

    Nimeipenda kweli hii. Apo saaafiiiii, wakiwa ishirini hotelin itakuwa safi kweli. Tulianza na yule mzanzibari sasa saafiiii. ILANI ya chama chetu inatekelezwa. Kimsingi, mafisadi hawaangalii shule ngapi zinaweza kujengwa au madawati mangapi yanaweza kununuliwa kwa hiyo hela wenyewe wanaangalia...
  4. M

    Waziri Mulugo aumbuliwa na Sugu

    Ila kazi kweli kweli, hata mimi siku nyingi nimekuwa namfahamu kwajina la Mlungu nashangaa mara baada ya unaibu waziri anaitwa Mlugo. Serikali yetu iko makini sana hata tuhuma hizi itajifanya haioni wala haisikiiiiiii.
Back
Top Bottom