Recent content by Mucho Hunter

  1. Mucho Hunter

    Je kuna ukweli wowote kuhusu Anunnak ama ni story za kufikirika tu?

    Annunaki miungu ya Wasumeri wa kale, Waakadi, Waashuri na Wababeli. Katika maandishi ya kwanza ya Wasumeri kuhusu wao, ambayo yanatoka kipindi cha Baada ya Akkadian, Anunnaki ni miungu katika jamii, kizazi cha An na Ki, mungu wa mbingu na mungu wa dunia, na kazi yao kuu ilikuwa kuamuru hatima...
  2. Mucho Hunter

    Ni Mungu au?

    Zilikuwapo aya za kumtunguza mungu,maonyo na nyinginezo.
  3. Mucho Hunter

    Ni Mungu au?

    Its ok.Bt nia yangu haikuwa kuionyesha jamii km mm ni mkwel au la.dhima ni kupeana elimu au ufafanuzi wa mada husika.sasa kwanini niongope kwa sala ambalo halinipi faida yoyote.Km unaona naongopa au natangaza dini its ok....
  4. Mucho Hunter

    Ni Mungu au?

    Imepita miaka kama kumi na saba tangu ili tukio na wala sio mwezi wa ramadhani uliopita ndugu.Na km bnadamu ambaye nilikulia katika familia iliyo kwenye upande wa uislam lile tukio lilinifanya kuzidi kuamini zaidi uislam na sio kuanza kujiuliza.Nimekuwa sasa,Kuna vng najifunza kwa kusoma,kuona...
  5. Mucho Hunter

    Ni Mungu au?

    Mimi cna jibu asee.Ila wapo wajuzi watakujibu.
  6. Mucho Hunter

    Ni Mungu au?

    Ucjali ndugu ntawawekea picha ambazo zitakuwa zinaonekana
  7. Mucho Hunter

    Ni Mungu au?

    Hapa hasa ndipo kwenye swali langu.labda niongezee kwa swala jengine ambalo nalo limekuwa likitokea mara kwa mara.Kuna watoto ambao wanazaliwa wakiwa wamehifadhi juzuu zote thelathini pamoja na mafundisho yote ya dini ya uislam.Wanaitwaga masharifu.Sasa hapo ndipo lile swali langu linapokuja...
  8. Mucho Hunter

    Ni Mungu au?

    Naomba nisaidiwe mawazo ktk hili.Miaka ya nyama katika nyumba ninayoishi lilipata kutokea tukio. Ilikuwa ni usiku wa mwisho wa mwezi ramadhan,Dada yangu ambaye ndiye mpishi wetu wa miaka yote huwa halali siku hii.Badia,kachori na mapochopocho kibao ya chai huwa anayaandaa usiku huu. Sasa...
Back
Top Bottom