Recent content by Muccigang

  1. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Kitu gani kilichosababisha kuwepo na binadamu wenye rangi tofauti tofauti?

    Mungu ameumba ili tujuane
  2. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Ubaya wa hisa kwenye kuuza yaani utaweka order kila order wanareject
  3. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Je! kati ya UTT Amis na CRDB, wapi kuna nafuu nikitaka kuwekeza?

    Kipengele cha hisa kwenye kuuza yaani mtihani mtupu kila ukiweka order inakua rejected
  4. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Shahidi: Mwalimu Mkuu anayedaiwa kumlawiti Mwanangu alimwambia 'ukisema nitakupiga nikuvunjevunje'

    Mungu atamlipa huyo mshkaji kwa unyama alio ufanya lazima aende jela
  5. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri ndugu zangu napitia kipindi kigumu mno.

    pole sana arudi tu serikali
  6. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Ili kujenga utamaduni wa kufanyakazi

    Kima cha mshahara kibadilike hata iwe 3000 kwa saa
  7. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Ili kujenga utamaduni wa kufanyakazi

    Unafanya muda huo alafu ulipwe 5000😂😂😂😂
  8. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Uraibu hauwezi kuachwa kwa kumeza dawa. Hakuna vidonge wala mizizi ya kuacha ulevi wa pombe, bangi, sigara, kamari, Umalaya, Punyeto, n.k

    aisee omba uraibu usikukute kwenye secta inayo athiri uchumi aisee balaa
  9. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Ukweli Usiosemwa Kuhusu Uraibu (addiction): ni zaidi ya Dawa za Kulevya na Pombe

    Uraibu ni mbaya sana wacha tujipukute vumbi tuendelee na safari yaani hakuna kuchoka
  10. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Dawa za mitishamba ni hatari

    Dawa za mitishamba ni nzuri ila akikuambia kunywa vijiko viwili kunywa kimoja akisema kunywa kimoja wewe kunywa nusu dawa huwa ni kali sana japo zinasaidia
  11. Muccigang

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unajiandaaje na maisha ya uzeeni?

    Tujiandae na uzeeni huku tukisali sana na kumuomba Mungu haya maisha unaweza jiandaa na ukaanguka Mungu ndo mpaji tuangalie fursa nzuri za kuwekeza fanya research
  12. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Umejiandaa vipi na maisha ya uzeeni (Retirement)?

    Asante
  13. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Umejiandaa vipi na maisha ya uzeeni (Retirement)?

    Watu wa kizazi chetu tunadhani dunia imeanza juzi uzee upo tena kama huna ajira serikalini hapo huna hela ya kustaafu yaani utalia na kusaga meno
  14. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Umejiandaa vipi na maisha ya uzeeni (Retirement)?

    Ni jambo jema sana ambalo tunapaswa sana kuliwaza aisee mimi nimeanza kuwekeza kwa ajili ya uzee wangu
  15. Muccigang

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje mashoga na wasagaji Wana afya Bora na maisha mazuri kuliko wale Wacha Mungu wengi woa wanaishi kwa msoto kwenye hii safari ya maisha?

    Sijui umewaza nini kwenye maisha madaraja yapo watu wa design hiyo wapo maskin tena ni wengi na wenyr uwezo wachache kwahiyo usidhan ukiingia humo utakua salama
Back
Top Bottom