Mkubwa umenikumbusha mwaka 1999 nilipata kusoma kipindi cha history kwa Kamaniga the WAGE pale Bungoni Ilala. WAGE the son of Africa sasa jamaa ni PhD candidate wa Law na anafundisha Tumaini pale Kurasini.
First class sio issue ila sokoni wakoje wanafanya vema? GPA nzuri ni juhudi za mtu binafsi sio kubebwa mzee. wanafunzi wa Tumaini kwa darasa ni wachache na walimu wanafundisha mwanafunzi kuelewa sio kama vyuo vingine. hiki ni chuo cha pekee sana mzee
nilibahatika kufanya kazi na wahitmu kadhaa wa hicho chuo wanachokiita ni chuo pekee- ndugu yangu ni vilaza hadi unashangaa hawa watu kweli walienda kusoma au kukua? yaani mtu hata kutuma attachment kenye e-mail ni shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.