Recent content by MUBOFU CM

  1. M

    Mnawakumbuka Mtegetwa,Ustadh Na Wage?

    Mkubwa umenikumbusha mwaka 1999 nilipata kusoma kipindi cha history kwa Kamaniga the WAGE pale Bungoni Ilala. WAGE the son of Africa sasa jamaa ni PhD candidate wa Law na anafundisha Tumaini pale Kurasini.
  2. M

    TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

    First class sio issue ila sokoni wakoje wanafanya vema? GPA nzuri ni juhudi za mtu binafsi sio kubebwa mzee. wanafunzi wa Tumaini kwa darasa ni wachache na walimu wanafundisha mwanafunzi kuelewa sio kama vyuo vingine. hiki ni chuo cha pekee sana mzee
  3. M

    Ni uduni na ufinyu wa mawazo kuvibeza vyuo vikuu vingine kwa misingi ya ubora usio wa kimantiki!

    nilibahatika kufanya kazi na wahitmu kadhaa wa hicho chuo wanachokiita ni chuo pekee- ndugu yangu ni vilaza hadi unashangaa hawa watu kweli walienda kusoma au kukua? yaani mtu hata kutuma attachment kenye e-mail ni shida.
  4. M

    Kozi gani inalipa kuisoma sasa hv?

    kama unasifa na wito ni vizuri usome kozi za afya
  5. M

    Mifugo......!!!!

    Bado mzee zikitangawa utaziona tu
Back
Top Bottom