Jamani wakuu tafadhalini mnapo zungumzia baina ya uzanzibar na utanganyika msichanganye na dini ya uislamu kwani hata huku tanganyika waislamu tupo wengi sana tu.
So msiuchanganye uislamu na uzanzibar, kwani uislam wenyewe upo kabla hata ya hao wazanzibar, umeletwa wakaupokea wakauamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.