Recent content by Mu_bee_nah

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni mawazo juu ya kazi yenye kutumia mtaji wa nguvu na akili

    Kila la kheri , mafanikio mema.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Naombeni ushauri ndugu zangu napitia kipindi kigumu mno.

    Habari za wakati huu, Waswahili husema penye wengi pana mengi. Naombeni mnisaidie katika hili ndugu zangu, Hapa nilipo sina kazi wala hata mtaji wa kufanya chochote sina, napambana lakini naona hali bado si nzuri, kinacho nipa mawazo ni kwamba nina mdogo wangu wa kidato cha nne bado hajaripoti...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli uislamu unakua sana Ulaya na Marekani?

    Kama sikosei waswahili husema, Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe. Anyways kila mtu ana uhuru wa kufikiri.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mabosi waeleza kwanini wanawafukuza kazi Gen Z miezi michache baada ya kuajiriwa. Gen Z chukua notes

    Kwa jinsi unavyo jibu inaonekana kuna kitu hakipo sawa kwako, Anyways kila mtu na maisha yake.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni kweli uislamu unakua sana Ulaya na Marekani?

    Sijui kwa nini watu wanachuki na uislamu! Na unakuta mtu hana hoja ya maana basi tu ni kufikiri kwa matamanio na kukurupuka, Anyways Kila mtu na maisha yake.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mabosi waeleza kwanini wanawafukuza kazi Gen Z miezi michache baada ya kuajiriwa. Gen Z chukua notes

    Una roho mbaya. Hata wanao watafika huko
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mabosi waeleza kwanini wanawafukuza kazi Gen Z miezi michache baada ya kuajiriwa. Gen Z chukua notes

    Kwa nini usiongee nae kistaarabu na kumwelewesha mavazi anayo takiwa kuvaa?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga?

    Sawa kiongozi.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga?

    Nashkuru sana kiongozi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga?

    Nyumba yenye vyumba vitatu, sebule, kitchen, dinning, na public toilet na chumba kimoja walau kiwe master
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga?

    Nashkuru sana
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga?

    Asante sana.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kiwanja chenye square meters 290 kinatosha kujenga?

    Nashkuru kiongoz.
Back
Top Bottom