Watumiaji wa mitandao hii.. wewe na mimi....[ watumiaji wa internet ], pia piga kura yako tuchanganue je tunalijenga Taifa la Tanzania au tunabomoa sura yetu katika nchi za kigeni na watalii?
Kutoa habari zisizo za ukweli na uhakika, Watumiaji mbalimbali huposti taarifa zisizo za ukweli na nyingine zakichonganishi kutokana na kutokujali matokeo ya taarifa hizi.
Wengine hata kulipwa na kushawishiwa na vyama gombea kueneza sifa mbaya juu ya serikali iliyopo madarakani. Hapa utaona...
Je tunajenga au tunabomoa?
Pia sio mpenzi wa siasa bali napenda kusoma habari mbalimbali mitandaoni, pindi nikutanapo na hoja zakuchafua sifa nchini kwangu inanikwanza, ukizingatia na tafuta sana scholarship nikasome huko nje ya nchi sasa najiuliza hao watoa scholarship wanaionanje Tanzania?
Na...
Kutoa habari zisizo za ukweli na uhakika, Watumiaji mbalimbali huposti taarifa zisizo za ukweli na nyingine zakichonganishi kutokana na kutokujali matokeo ya taarifa hizi.
Wengine hata kulipwa na kushawishiwa na vyama gombea kueneza sifa mbaya juu ya serikali iliyopo madarakani. Hapa utaona...
Anamek meki headline sio hatumpendi bali anamambo/ vijimambo daily,
Hivyo kutokea mara kwa mara na hivyo jina lake kutukaa kwa uwepesi zaidi midomoni mwa watu...
Huwezi jaji tunampenda/ kumkubali au kumchukia kwa kiasi gani ...ila ni style flani kama angekuwa muigizaje tungesema star wa headline...
Tujuze wenzako tunalipia kila mwaka hizo account namba tuziweke hadharani,
Tusaidiane wafanya biashara tunapenda kuendelea lakini hawa watuKodi wanatukomoa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.