Huyu hajawahi kunyooka ni chuki kwa JPM na alikuwa anatumia nguvu kubwa Sana kwenye vitu visivyo na msingi... angekuwa amenyooka angeweza ku maintain , sasa hivi ni chawa mwaminifu, anakemea waandamaji, anadai kususia uchaguzi ni dhambi watu ajitokeze kupiga kura..... Tapel kabisa
Nahisi ni...
H
Huyu hajawahi kunyooka ni chuki kwa JPM na alikuwa anatumia nguvu kubwa Sana kwenye vitu visivyo na msingi... angekuwa amenyooka angeweza ku maintain , sasa hivi ni chawa mwaminifu, anakemea waandamaji, anadai kususia uchaguzi ni dhambi watu ajitokeze kupiga kura..... Tapel kabisa
Vijana wana achishwa kazi.... Wakienda psssf/ nssf.... Wapewe mafao yao kama mtaji waanze biashara...... Wanaambiwa wasubiri miaka miwili....inasikitisha sana
Yawezekana hiyo ni tactic ya kuwatisha watekaji na kuwanyima uhuru wa kafanya wanavyo taka....sasa hivi huenda wanaogopa wanahisi wanafatiliwa pia...... Nasaport kaka mtu alichokifanya
Mwangoswi aliuliwa lini mikononi mwa kina nani, je ilikuwa usiku au mchana kweupe watu wanashuhudia? Na Dr ulimboka aling'olewa meno wakati gani ? Kubenea alimwagiwa tindikali wakati gani?.....
Mkuu legacy ya magu haiwezi chafuliwa na wanasiasa uchwara wanaokuaminisha Mambo yao, lakini wakikosa...
Mkuu mijitu kama hii ndo mbowe alikuwa anaitumia karibu CDM Yani imekaririshwa, ....... Haijui kuwa pia CCM wapo pia watu wazalendo.wapenda haki, na hapendi jinsi Mambo yanavyo endeshwa kwa Sasa
Niliwahi sema adui mkubwa wa upinzani nchi hii ni mbowe.... Nikawambia anaye subiri/ taraji mabadiliko kupitia mbowe ni sawa na anaye subiri nguruwe kuota mabawa( when pigs fly)......niliambulia matusi hasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.