...!!!mimi nina ushaidi na hilo mkuu jana tu naenda dukani namkuta muuza duka anapiga story za kiluga na ndugu yake nikamuuliza una white dent kubwa yani kama haniskii anaendelea kuongea na mwenzio kiluga aisei nilisonya nikaondoka nashangaa ananiita njoo nikuhudumie nikamjibu muhudumie uyo...
Asante wote mlionishauri ,na wengine walionifokea yote kwa yote nimeamua kuchukua maamuzi ya kuludi nyumbani kwetu nimpe nafasi ya yeye kujipanga kimaisha zaidi na tumekubaliana akiwa sawa kiuchumi basi ataichukua familia yake lakini pia sitomlazimisha akiamua pia kututelekeza ni maamuzi magumu...
Mtaji anapata wapi wa biashara bila kufanya kazi unahisi wanaume wote wanafanya kazi viwandan wanapenda ila unafanya kwa sababu maisha hayana huruma na kila kazi fanya kwa malengo ili utimize ndoto ya biashara unayotaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.