Recent content by Mturuki wa Kusini

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mpina anarudia makosa yale yale ya kina Mrema, Membe na Lowassa

    Mzee usikute hao wote ni Cc yemu wanacheza na akili zetu tuu nchi Ngumu hii!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Mzee hivi nahitaji kujua kwa nini huyu ANU aliruhusu hawa miungu iliyosamehewa ije iishi kwenye ground moja na Lucifer ambae aligoma kuomba msamaha ilihali akijua kuwa hivi viumbe tayari vina malengo tofauti yaani wengine wameomba msamaha na wengine wamekaza
  3. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Waacheni wakaliwe wajumbe mifuko yao itanona manake wagombea ni wengi safari hii………
  4. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Makadirio yake yameanza kwa wenye miaka 15-18 kwa wakati ule wa sensa hadi sasa hivyo amezingatia hiyo hoja yke ina mashiko ijibiwe……….
  5. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sensa 2022, watanzania umri miaka 15+ wapo 29,842,718 na hao ndio wanasifa kupiga kura 2025. Tume ya uchaguzi itujibu 37,655,559 wanatoka wapi?

    Inakuwaje asihesabiwe kwenye sensa ilihali ni utaratibu wa nyumba kwa nyumba? Kusema sensa inabeba idadi ndogo ya watu ambao hufuatwa majumbani si sahihi kulinganisha na zoezi ambalo wananchi huenda wenyewe kwa hiyari yao
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ndoto zinazofunua Adui zako wa siri. (Dreams that reveal your secret Enemies)

    Hata mm yananikuta kwa wakati fulani yaani primary au secondary nahisi sote tunahitaji msaad hapa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Naungana na netanyau Israel imefikia malengo yake ya vita dhidi ya iran

    Ndug yangu ulimwengu wa leo uhifadhi wa data ulivyomkubwa technology haipotei kizembe hivyo……
  8. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Reforms: Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2025-2030 imeahidi kuleta katiba mpya. Mnaotaka mabadiliko fursa hiyo. Pigieni kura CCM ifikapo Oktoba 2025

    Unahic kuna mtu anaweza akajichimbia kaburi na kujizika mwenyewe thubutuuuu………..!
  9. M

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No re No el
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kujua waliomshambulia Fr. Kitima, kapimeni DNA kwenye meza, viti, vijiko, chakula, na viywaji vinanyosemekana washambuliaji walikuwa wanatumia

    Hivi hizi fingerprint tunazotumia kusajili laini na vitambulisho vyetu hazina uhusiano wowote na utambulisho wa mtu kama anatafutwa?
  11. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sakata la kutekwa kwa Mdude, mzee afichua jinsi Polisi walivyomfuata kutaka awasaidie kumfanyia Ujasusi ili wampate

    Wengine waganga maarufu wa kienyeji wakifanya mambo wanakunasa mzee sio lazima itumike tech usikute ndo mana kafuatwa
  12. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

    Kwa hyo ww ukiambiwa Mbowe unafahamu kuwa ni nani?
Back
Top Bottom