Nilimtanguliza Mungu kumwamini na kumtegemea kwa asilimia zote kuanzia mwanzo wa mchakato mpaka mwisho na maandalizi yangu yalikuwa ni mazuri kwa maana ya kusoma na kufanya mazoezi ya vitendo(Practical) ,saasa nimefanikiwa kupata kazi nzuri kuliko nilivyokuwa nafikiria, ni Mungu tu wa...
Habari zenu waheshimiwa.Leo nimeona tangazo la kuitwa watu kwenye usaili NHC & TPC kupitia utumishi kama ilivyo kwenye document niliyo attachment hapo chini , MimiBinafsi niliomba nafasi ya Systems Administrator shirika la NHC ila kwenye kuitwa kwenye sahili Systems Administrator haipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.