Naomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho?
Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari...
Mjadala wa Bandari umeteka mitandao yote iwe Instagramu, Jamii Forums, Youtube, Twitter, Facebook na mitandao mingine, pia mjadala mkali kwenye vijiwe vya kahawa, mitaani na maeneo mbalimbali yanayokutanisha watu kila mtu akiongea la kwake.
Tumeshamsikia Waziri Profesa Mbarawa, Tumemsikia...
Maswali yote hayo unayouliza vitu hivyo vilikuwa havitumiki kabla ya Bashe kuwa Waziri? mbona suala la wanunuzi wa mazao mashambani kutoka nchi za nje huzungumzii?
Kuna mjadala mpana nimeukuta mahali kuhusu mgawanyo wa nafasi za Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kama umezingatia umoja wa kitaifa bila ubaguzi wa dini, jinsia, kanda na makabila.
Kwa upande wa CCM...
Ndugu BJC. DSM, hakika umenitoa machozi kwa uzi huu nadhani watanzania wengi watajifunza mengi kupitia bandiko hili Lucas mwashambwa naamini utasaidia kujibu hoja za BJC.
Wapinzani walikuwa wanafanya kazi zao, kila wakati walifanya mikutano ya ndani na hata Press na tulikuwa tunawasikia, wananchi bado wanajiuliza maswali mengi, kwanini kipindi chote cha utawala ya Rais Samia walishindwa kufanya Press kutoa matamko kuhusu matatizo makubwa yanayowasibu wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.