Recent content by Mtumishiwetu

  1. M

    Januari Makamba analaumiwa kwa kosa gani?

    Naomba watanzania wenzangu mnisaidie jambo moja kila siku nikiamka kwenye mitandao nakutana na mijadala mbalimbali inayomkosoa Januari Makamba lakini mpaka sasa najiuliza Makamba amewafanyia nini watanzania hadi mumchukie kiasi hicho? Kosa lake ni nini hasa? kama ni Wizara ya Nishati tayari...
  2. M

    Tumewasikia watu wote, nini hitimisho la mjadala wa Bandari?

    Mjadala wa Bandari umeteka mitandao yote iwe Instagramu, Jamii Forums, Youtube, Twitter, Facebook na mitandao mingine, pia mjadala mkali kwenye vijiwe vya kahawa, mitaani na maeneo mbalimbali yanayokutanisha watu kila mtu akiongea la kwake. Tumeshamsikia Waziri Profesa Mbarawa, Tumemsikia...
  3. M

    Kilichomponza Basila Mwanukuzi kupoteza nafasi ya U-DC Korogwe hiki hapa

    Duh. Wakurugenzi waliolalamikiwa utendaji mbovu wamebaki DC ndio ameng'oka
  4. M

    Lissu amtetea Rais Samia kupanda kwa gharama za maisha

    Lissu muogope Mungu bei ya mchele imepanda kwa sababu ya Katiba? kwani Katiba ndio imeanza kutumika leo?
  5. M

    Bashe amewakuta Watanzania wananunua kilo ya mchele 1,800 sasa wananunua 3,500

    Maswali yote hayo unayouliza vitu hivyo vilikuwa havitumiki kabla ya Bashe kuwa Waziri? mbona suala la wanunuzi wa mazao mashambani kutoka nchi za nje huzungumzii?
  6. M

    Kamati Kuu ya CCM vs Kamati Kuu ya CHADEMA

    Kuna mjadala mpana nimeukuta mahali kuhusu mgawanyo wa nafasi za Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Wajumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kama umezingatia umoja wa kitaifa bila ubaguzi wa dini, jinsia, kanda na makabila. Kwa upande wa CCM...
  7. M

    Anguko la Bashe ni ruzuku ya Mbolea

    Hili kwa kweli ndio kaburi lake kisiasa
  8. M

    Lucas Mwashambwa waulize wakubwa haya maswali watusaidie majibu

    mchele kyela ni tatizo la kidunia?
  9. M

    Vifaranga kwa maelfu vyachomwa moto awamu ya sita! uchokozi kwa Rais Samia

    Ndugu BJC. DSM, hakika umenitoa machozi kwa uzi huu nadhani watanzania wengi watajifunza mengi kupitia bandiko hili Lucas mwashambwa naamini utasaidia kujibu hoja za BJC.
  10. M

    Vifaranga kwa maelfu vyachomwa moto awamu ya sita! uchokozi kwa Rais Samia

    Uko makini sana na Neno big up. Hao wanataka kuficha uchafu wao kupitia Biblia Takatifu.
  11. M

    Mbunge Assenga watu hawatarajii mtaenda kutukana viongozi waliofariki

    Wapinzani walikuwa wanafanya kazi zao, kila wakati walifanya mikutano ya ndani na hata Press na tulikuwa tunawasikia, wananchi bado wanajiuliza maswali mengi, kwanini kipindi chote cha utawala ya Rais Samia walishindwa kufanya Press kutoa matamko kuhusu matatizo makubwa yanayowasibu wananchi...
Back
Top Bottom