Hatuwezi kusahau October 29, mpaka tuone makaburi ya ndugu zetu, hauwezi kupulizia kinyesi pafyumu heti kisitoe harufu, ndugu zetu warudi hayo mengine baadae,kwanza ilikuwa ziara ya family sio ya Serikali ndio maana alienda na wanawe.
Magu nilini aliuza raslimali za taifa?acha ujinga,kumsingizia marehemu, Magufuli katiba kaikuta hakuna alichokifanya nje ya katiba, taifa hili lina Vijana wa hovyo, baada ya kuchukua hatu mnabaki lawama,huku nchi ikiteketea.
(
Isaya 48:22
[22]Hapana amani kwa wabaya, asema BWANA.
There is no peace, saith the LORD, unto the wicked.)Samia hawezi fanikiwa hata afanyeje,damu aliyoimwaga bure ya watanganyika itamtafuna tu.
Huyu si alikuwa amefungwa kwa utapeli?Huyu sio mchungaji wala nabii ni tapeli tu,hata kama hakuna takwimu lasmi Watanganyika wengi waliuwawa,na ndio Maana Serikali ya CCM haitaki kutoa takwimu.
Kuna msemo wa kiswahili unasema kuwa 'Ukitaka kumuua kumbikumbi mpe mabawa'Hotuba ya leo ya Samia walioianda wamemmaliza,na Yeye asivyoweza kuchanganua mambo kafuata hivyo hivyo,hajui watu wanatafuta ushaidi, ngoja tuone mwisho wa kiburi chake.
Mwenyewe,aliwahi kutuambia tuamie Burundi, Kwaiyo hiyo hoja yake ni mfu,Mseveni kuikomboa Uganda alikuwa Tanzania,Kagame alikuwa Uganda, uwezi kufanya ukombozi huko ndani ya nchi,ebu ona hakina Polepole walichofanyiwa,walisema wakiwa ndani ya nchi,Lissu mpaka Sasahivi mwezi wa 4 yuko jela...
Polepole aliwaambia kuwa CCM inabidi kumwaga oil,ili waje watu wenye maono mapya mkazarau,mda simrefu tunakuwa kama Nigeria sababu ya urafi wa viongozi wa CCM, TEC wanasema na Serikali baada ya kujibiwa na Serikali wauni wanaojiita masheh heti ndio wanatokea kujibia Serikali,na Serikali hipo...
Acha ujinga Wewe na samia wako, Samia alivyoshika madaraka alisema anafungua nchi wakina lissu na lema walirejeshwa nchini tena kwa kulipiwa nauli na posho,ili Magufuli haonekane hakufaa, mpaka kaja na 4r, Sasahivi hapo Magufuli anausikaje! wakati mambo yake yote mliyaondoa.Bebeni msalaba wenu...
Wewe hacha upuuzi wako,hata tukura aliotupata samia kabla ya vurugu ni sababu ya Magufuli na miradi yake, Magufuli alichukiwa na mafisadi kama Wewe,kama unabisha nenda YouTube au Facebook angalia hotuba za Magufuli, linganisha na viongozi wote waliwai kuongoza Tanzania ninani anayefatiliwa zaidi...
Simlikuwa mnasema hakuna sisimizi wa kuandamana!labda maamdamano hayo kama yamitishwa na waislamu , Sasa wameamdamana mnaanza kulia lia na kumsingizia Mage, mwambieni ukweli Samia wenu kuwa watu huku mtaani wamemchoka "anakibali kwa Watanganyika '
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.