Ndio maana unaona Wewe ninakuita mpuuzi tu,yote unayoyasema juu ya Makonda hakuna lolote lenye udhibitisho,eti Makonda alimpiga ndiye alimpiga lissu risasi,mala ho Makonda alizurumu huai wa Watu,ukiuliza ni mtu yupi aliyefia mkononi mwa Makonda hakuna mwenye jibu,asira zenu kwa Makonda ni kuwa...
Wewe ni mpuuzi tu kila kukicha ni Makonda utadhani alikuchukulia mke wako, Makonda kachagua njia ya kumtanguliza Mungu mbele ndio maana unaona kachagua kuwa karibu na viongozi wadini,ulitaka ashinde kwa waganga wa kienyeji anapiga ramli chonganishi?ila napo ungekuja kusema humu kuwa Makonda...
Makamba akili hana kabisa, Yeye ni kutegemea uchawi tu, Sasahivi eti nae anataka urais wakati Jimbo tu linamshinda wakati kawa waziri miaka kibao,Sijui watanganyika ninani aliyeturoga?Majitu kama haya hata kwenye mikutano yao upaswi kwenda, lakini utakuta uchaguzi ukikaribia anaanda machawa...
Wapuuzi tu hawa siwalikuwa wanasema Magufuli ndiye alikuwa anateka na kuuwa watu, Sasahivi hicho kitu amna Sasa matamko ya nini kama Sasahivi maisha ni raha mstarehe, Maana aliyekuwa anawauwa hayupo tena?Ogopa wanasiasa matapeli akina Zitto Cop wameona akuna anayewazungumzia wanaanza swaga.
Kwaiyo tumerudishwa uchumi wakati, kumbe ndio maana Jeska alimkimbia Kafurila ziro kabisa, Shilling yetu inaporomoka Kila siku, dollar kwenye mabenki amna,CAG kasema Samia kakopa tillrion 30 kwa miaka 3 ya Samia maana yake nchi inalemewa na madeni, Sasa hiyo hela inasaidia nini nchini.Uchawa...
Kweli aliwapa jina Man U la nyumbu hakukosea,unafingwaje kizembezembe hivi,humu hamna timu ya mpira ni genge la wauni kama wakiendelea hii timu itawachukua miaka 100 kichukua kombe kubwa la heshima kama UEFA na EPL na uropa,wachezaji wako goigoi utafikiri wote ni Islamic wamefunga.
Leo niko upande wa nyumbu maana hawa vishingo wanamdomo sana,haaaaa tangu lini nyumbu katishwa na jogoo bwana?Man U nipigie hawa watu tupunguze makelele mtaani.
Hata wakati wa chadema wakiwa moto enzi za katibu mkuu Slaa walikuwa wakidukua sana viongozi wa Serikali na kilipua mabomu kwenye mikutano yao ndio maana chadema kipindi hicho ilipendwa sana kipindi hicho maana waliongea kwa nyaraka zilizodukuliwa au kivujishwa,hata Sasahivi Serikali ya Samia...
Heche huyu huyu aliyenunuliwa na Lowassa na kuanza kulamba matapishi yao waliokuwa wanamtapikia Lowassa , ndiye aliyekataa uwaziri wa Magufuli au kuna Heche mwingine; uchaguzi unakaribia tunasikia mengi.Chadema pale wakusema angalau tukamwamini ni Myika tu wengine ni vibaraka wa Mbowe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.