Jamani kwanini tunaonewa kiasi hiki? mbona wafagia barabara wanalipwa kwakazi hiyo; leo kwakuwa ni usafi umefanywa kwa ajili ya chadema imekuwa nongwa but ol in ol 25 Oct co mbali yatakwisha tu haya
Then akajificha ndani ya serikali ya ccm na ninyi mkamnyamazia tu leo mnaropoka eti fisadi...awe fisadi awe nani...ukawa no turning back hii ni mpaka ikulu
Tena nakiswahili chake cha kuchapia basi anazidi kubwa kero kweli.mwenzie J.Kapalatu kakaa kimya nadhani alisoma salama za nyakati wasionekane wote kubwa wajinga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.