Kweli kuna watu wengine wajinga sana watu wanafanyakazi mtu anafikiria udini ndugu yangu elimu ni muhimu sana kuliko ujinga wako TRA wamekiri na hata Azam wamekiri mpaka wakapeleka check ikakataliwa wamemwambia subiri utalipa pamoja na penult wewe unafikiria udini WEWE JINGA SANA
Mimi nina wasiwasi na uwezo wako wa elimu au akiri yako sijui kama iko sawa sawa pia huenda umeishia darasa la pili kwa kuwa hujui lolote kuhusu nchi ina mahusiano gani na mashirika ya umma
Mimi nafikiri uwezo wako wa kufikiri uko zaidi kiccm mbona rais na ccm wanasema wataulinda muungano na pia jua kuwa bila UKAWA hii nchi isingefika hapa tulipo kwenye uchaguzi wa mwaka huu na CUF ni sehemu ya ukawa mwache zito abakie lakini wananchi tunajua umuhimu wa ukawa ndio maana tunadai...
Kweli usilolijua ni usiku wa giza nakwambia hivi hao watu alionaokwenye gari kula zote ni zake na watawashawishi na ndugu zao mbona nyie jana mmegawa tisheti bule na usafiri pamoja na pesa ya kula mwache lowasa apige kampeni kisayansi
Kweli ndugu yangu wameyataka mafuriko kwa gharama wamekodi magari na posho kwa kila mwendaji kwenye mkutano iLI WATALIWEZA hiyo pesa tutakula lakini kilala ni kwa Lowasa
Nenda shule hujui ilisemalo nia yetu ni kuwa na vyama pinzani ndani ya bunge vyenye nguvu ili hoja zote zipite kwa faida ya wananchi ambao ndio wapiga kula
Nafikili wewe akiri yako ni juu ya ccm tu lakini hufikirii kuwa watu wote tulitoka ccm ebu kumbuka kama una umli mkubwa kidogo ulikuwa huwezi kuingia chuo au elimu ya juu bila kadi za ccm hivyo kuhama mtu sio kosa pili hata kama dr. Slaa na pro. Lipumba wasingeweza kumshinda makufuli labda kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.