sio kusitisha tu waseme kabisa na jinsi wale wagonjwa waliopo mawodini wanavyokata roho kila baada ya dk 1 kwa kukosa huduma ya madaktari toka jana. waseme tu ukweli ujulikane jamani.hali ni mbaya sana huku muhimbili motuary imefurika hakufai.
mkuu hakuna daktari mbunge hata mmoja hapa nchini mwenye uwezo wa kufanya upasuaji wa moyo au wa ubongo, hakuna hata mwanajeshi mmoja anayeweza. propaganda hazitasaidia kusolve huu mgogoro wa madaktari hima serikali kubalini mmeshindwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.