Recent content by mtume wawatu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hi kulioa 'aa. kulipa kwa mkupuo ndo inakuwaje?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tujuzane printer nzuri kwa ajili ya kazi tofauti tofauti

    naamndugu naomba sasa baada ya kutoa ya moyoni na angalizo, pendekpendekeza printer nzuri ya kazi hiyo na bei.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Printer gani itafaa kwa matumizi ya ofisi ndogo

    mkuu hii printer inaweza kuprint hata cd aau hard-covers? je, wale wanaoprint picha wanatumia printer ipi?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    mkuu sasalamu zako. naomba unielezee hiki kitu. jf kwa sasa napata tabu kufungua hizi picha. natumia simu kwa kutumia screen-reader. jf kwetu watu tusioona inatusumbua tangu waibadilishe.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    kiongozi, ushenzi wa airtel ni upi? uaweza ukatufafanulia hapa kiundani tukafahamu maana mimi natumia rouuter yao hapa.
  6. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hotuba ya Rais Samia yawakosha Watanzania. Waomba irudiwe kwenye vyombo vya habari kwa mwezi mzima mfululizo

    mikuu unapost kwa kutumia vpn hlafu unamnwsifia mama.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Yanga tumeshinda ila kwa Aziz Adambwile kocha umetudanganya

    duh mku kama umefufua kaburi. ila nadhani muda ni mwalimu mzuri. nadhani tuwape muda hawa watu na kocha.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Uonapo Mpanzu, Ahoua na Kibu kwenye mstari wa 3 wa Simba tafuta tu Tangawizi ulegeze misuli ya kichwa

    simba katika gizi hatua za mwanzo sidhani kama itakuwa ni shida sana. labda huko mbeleni.
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Dar: Vibe la Tundu Lissu baada ya kuingia chumba cha Mahakama

    mawazo kama haya ni ya watu wamfuatao ibilisu tu. huwezi kumuwazia mwenzio mabaya namna hii.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Je, Yesu na Paulo wangekuwepo "live" duniani leo, wangecheza au kushabikia mpira?

    Mambo ya mpira ungeachana nayo.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    kiongozi hebu tulia hebu tulia uandike vizuri. maana sijaelesijaelewa unaadika nini.
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    sasa dugu jaribu kuandika vizuri basi. kwanza umeshajaribu kujibu hata hoja moja ya hao naowaita wanamchukia Dkt samia? au umekuja tu na hoja zako?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ali Kamwe ni kama hajielewi

    Mku mbona unatulaumu sisi?
Back
Top Bottom