Recent content by mtume wawatu

  1. M

    Yanga tumeshinda ila kwa Aziz Adambwile kocha umetudanganya

    duh mku kama umefufua kaburi. ila nadhani muda ni mwalimu mzuri. nadhani tuwape muda hawa watu na kocha.
  2. M

    Uonapo Mpanzu, Ahoua na Kibu kwenye mstari wa 3 wa Simba tafuta tu Tangawizi ulegeze misuli ya kichwa

    simba katika gizi hatua za mwanzo sidhani kama itakuwa ni shida sana. labda huko mbeleni.
  3. M

    GE2025 Dar: Vibe la Tundu Lissu baada ya kuingia chumba cha Mahakama

    mawazo kama haya ni ya watu wamfuatao ibilisu tu. huwezi kumuwazia mwenzio mabaya namna hii.
  4. M

    Hivi Magufuli aliwahi kumfunga Mkurugenzi yoyote kwa ufisadi? Serikali ya Samia yamfunga miaka 22 Mkurugenzi kwa ufisadi

    kiongozi hebu tulia hebu tulia uandike vizuri. maana sijaelesijaelewa unaadika nini.
  5. M

    GE2025 Sababu za wanaompinga Dkt. Samia

    sasa dugu jaribu kuandika vizuri basi. kwanza umeshajaribu kujibu hata hoja moja ya hao naowaita wanamchukia Dkt samia? au umekuja tu na hoja zako?
  6. M

    Ali Kamwe ni kama hajielewi

    Mku mbona unatulaumu sisi?
  7. M

    Hakuna Scam kubwa hii dunia kama kuoa Mwanamke eti kisa kasoma chuo au ameajiriwa ili msaidiane majukumu ya ndani na mfanye maendeleo

    wanaume wanajadili mambo yao kwa upole wewe unaleta mizaha, kejeli na matusi kwa nini?
  8. M

    Kwa nini mshindi wa Jackpot apelekwe mafichoni kwa zaidi ya wiki mbili?

    yani kama mimi ndo nashinda hii pesa. nakwenda kununua bonds za serikali.
  9. M

    Sababu kuu tatu zinazokwamisha Feisal Salum asiende kuchezea Simba

    mkuu ulitutangazia umeachana na mpira" yaani hushabikii tena mamipira ya hapa bongo. sasa imekuwaje?
Back
Top Bottom