Recent content by Mtu_Huru88

  1. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania sikuomba kuzaliwa, kwanini nihukumiwe na moto wa milele

    Mkuu kwani maisha yanaanza tumboni kwa Mama au kwa Baba, kwani bila Baba mama anaweza kupata mtoto Naamaanisha sio kwamba bila Baba, wengi hii miili yetu si ingekuwa chooni kama bleed (hedhi)
  2. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania Tetesi:, Rais Dr samia wetu,na Dr.Nchimbi,wapo pamoja na wanawasiliana kwa jina la kaka na dada kila siku.

    Ni kweli kabisa wanawasiliana, hata Job Ndugai juzi tu hapa niliona anawasiliana na dada ake
  3. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania Sanaa ya Kuamuru Roho za Mbingu, Angani, Duniani, na Kuzimu

    Ninachojua mimi kila kitu kinaanza na neno, mimi navifikiria tu sana vitu kisha nakuwa najiambia mwenyewe ndani bila kufanya matambiko yoyote hata kwa wasio wa dini walimwengu wana sheria yao wenyewe wanasema "Law of Attraction" Yohana 1:1-2 1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako...
  4. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    Kitu JF wamekosea ni kutokuweka kipengele cha kublock mada za mtu fulani usizione, uone kile tu kinachokufaa Huju jamaa Lucas Mwashambwa sijawahi kuona mada yake inayoniingia akilini kiufupi mada zake zote ni kichefuchefu lkn sina budi Maxence Melo tusaidie kuna watu wanakera
  5. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania Mheshiwa Lissu kajitetea vibaya kwenye kipengele cha heshima kubwa aliyonayo kimataifa

    Alisema anazuia uchaguzi, hivyo alizuia? Kumbe hakukufanyika uchaguzi kura zilichomwa sasa hizo 98% za ushindi zilipatikaneje?
  6. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania Kama ulisoma Biology na unaamini kitimoto ni haramu kwa sababu hacheui, nenda kadai ada yako tu kilaza mkubwa wewe

    Ni kanuni ya asili mkuu, wanyama wote hawajaumbwa kula kila kitu, kwaiyo hao wanaokula kila kitu wana changamoto sio salama kuwala
  7. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania Watoto ni matokeo ya ngono, Si zawadi wala baraka kutoka kwa Mungu!

    Kwamba mke wa mchungaji hafanyi ngono anaomba tu ndio maana hapati? sijaelewa hapa mkuu
  8. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania Kwanini huamini uwepo wa Mungu?

    Tukiachana na masuala ya dini kwanza, kwasababu sio dini ndo zimeleta uwepo wa Mungu Ukizingatia dini kuu zilizopo mfano Uislam umeanza baada ya uwepo wa Mohhamad S.A.W, mtume huyo alidai kashushiwa kitabu kutoka mbiguni (Kuran) na hapo ndio ukawa mwanzo wake kitu ambacho kabla ya Mohhamad...
  9. Mtu_Huru88

    JamiiForums Tanzania Akina nani walisema natumfanye mtu kwa mfano wetu mwanzo 1:26 povu staki

    Huo utatu kwenye bible umeandikwa kitabu gan?
Back
Top Bottom