Something which is very difficult.. Iran Ina Jeshi Bora sana.. ni ina utofouti mkubwa sana wa nchi ambazo Marekani aliwai kuvamia.. kijeshi, kiuchumi na kisiasa.. unaweza shangaa Marekani akipoteza militia wengi sana hapo.
Marekani atajichanganya kama akiingia battlefield na Iran, Marekani anaweza chakazwa vibaya sana
Kwanza, Iran ni nchi kubwa sana kijiografia. Ina eneo la takribani kilomita za mraba milioni 1.65, Ukubwa huu unamaanisha kwamba jeshi linaloivamia litahitaji kudhibiti maeneo makubwa sana.
Wakati...
Iran Ina faida milima ya Zagros and Alborz yenye Kilele Cha MITA 4000-5000 kwenda juu, then kwenye hiyo milima underground ndiyo wameweka bunker weapons ambayo inasemekana Mita 300 kwenda chini kitu ambacho hata nuclear ikipigwa haiwezi fikia hiyo bunker
Kuna msemo mmoja maarifu sana kwenye Geopolitics unasema "military operations must serve as clear political objectives"
Kwa mantiki hiyo kama political objectives umeshindwa kuzi-achieve automatically umeshindwa vita.
Political objectives ya USA in Vietnam ilikua ni kuwazuia Vietnam kujiunga...
Umetumia kigezo gani kusema hivi?
Kwanza kabsa Hoja kwamba Iran inapigana vita vya survival siyo sahihi kabisa.
Japo Iran inalinda utawala wake, (Regime Survival) lakini pia inaendelea kufanya mashambulizi ya kijeshi.
Mkakati wake unategemea sana Asymmetric Warfare, ambapo anatumia drones...
Jamaa analeta story za vijiweni...!
Hizo western Countries tunaona kabsa zikipeleka naval ships, Juzi tumeona Ukraine ametoa msaada wa drones.
Hao Russia ,China , Korea.. mbona hatuoni au kusikia wametuma vifaa vya kijeshi Iran? Au yeye source yake ni ipi ya habari.
Jamaa wameleta competition kweli.. na hapa Iran hawezi kuacha kutumia hii mbinu asymmetric warfare... mara nyingi lengo lake ni kufanya vita iwe ndefu, ghali, na yenye presha kubwa kwa adui.
Na tulisha ona impact yake kwa world economic.
Marekani ndiyo zao wakishibdwa vita, watakuja na propaganda za ajabu sana.
Ila tuwe wakweli Marekani hawezi kufanya regime change hapo.. it's very difficult ni kama ndoto but will never happen
Ground force mbona anaenda kujichimbia kaburi... Zaidi ya 50% ya eneo la Iran ni milima, mabonde na misitu mwenye audacity Jeshi lake hapa kuivamia Iran, atakua Hana akili vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.