Modern women (feminist) hili kwenu ni chungu sana!!
Ila siku zote mwanaume akitaka mtoto no negotiations, mwanamke haina budi kukubaliana nalo. Otherwise kuwepo na special reason ambayo inakufanya usibebe ujauzito!
Nikisoma makala kama za aina hii.
Inanipa moyo Kuwa hili Taifa Lina watu smart ambao Kwa namna Moja ama nyingine wanaweza kufanya Taifa kusonga mbele.
Sadly CCM aina ya watu kama wewe haiwapendi kwa sababu inaona kabsa inaenda kudondoka madarakani.
Chukua hii caption ka- paste pale atakufunza kila kitu.
Become my conversation partner for practicing English language start with beginner level conversation and gradually increase difficult as I improve. Correct every mistake I make, explain why it's wrong, show me how native would say it...
Kama hizi sehemu.
Tandale.
Magomeni.
Kigogo
Tabata
Riverside.
Manzese
Temeke
Buza
Buguruni
Tegeta
Segerea
Of course karibia Dar yote mpangilio ni mbovu hayo maeneo yamejaa viduku na uchafu hamna la maana.
Swali je gharama za kuhamisha hivyo viduku nani anaweza? Maana hii nchi haina Sheria...
Nilitegemea utoe tafsiri ya Akili, Ili tupime Kuna ukweli gani kwenye hili
Sijui unaweza nisaidia tafsiri yake
Maana naona ulicho eleza hapo juu ni Ubongo, siyo akili.
Jamaa ni hovyo sana!
Kwanza Unamwitaje mtu kupitia social media, ndiyo Sheria na taratibu za kipolisi zipo hivyo? Kama siyo ulevi na kiburi Cha madaraka kinawasumbua wajinga Hawa.
Huwezi kumuita mtu kwa kutangaza kwenye social media, Sheria gani inasema hivyo?
Then unawaita kwa vikundi, kama ana kosa Kuna taratibu za kufuata, siyo unatoka tu mbele eti namuita Fulani, ujinga mtupu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.