Recent content by Mtu Alie Nyikani

  1. Mtu Alie Nyikani

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Something which is very difficult.. Iran Ina Jeshi Bora sana.. ni ina utofouti mkubwa sana wa nchi ambazo Marekani aliwai kuvamia.. kijeshi, kiuchumi na kisiasa.. unaweza shangaa Marekani akipoteza militia wengi sana hapo.
  2. Mtu Alie Nyikani

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Huenda labda hawajui, na kama wangejua strength ya Iran wasingeivamia.
  3. Mtu Alie Nyikani

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Marekani atajichanganya kama akiingia battlefield na Iran, Marekani anaweza chakazwa vibaya sana Kwanza, Iran ni nchi kubwa sana kijiografia. Ina eneo la takribani kilomita za mraba milioni 1.65, Ukubwa huu unamaanisha kwamba jeshi linaloivamia litahitaji kudhibiti maeneo makubwa sana. Wakati...
  4. Mtu Alie Nyikani

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Patamu hapo!! Na saivi air defense inaonekana hamna kitu mbele missile za Iran
  5. Mtu Alie Nyikani

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran Ina faida milima ya Zagros and Alborz yenye Kilele Cha MITA 4000-5000 kwenda juu, then kwenye hiyo milima underground ndiyo wameweka bunker weapons ambayo inasemekana Mita 300 kwenda chini kitu ambacho hata nuclear ikipigwa haiwezi fikia hiyo bunker
  6. Mtu Alie Nyikani

    Kwa jinsi ICC inavyofanya kazi, wahusika wa mauaji ya Oktoba 29, 2025 hawatafikishwa kwenye hiyo mahakama

    Jinai haiozi hata kizazi chake kitawajibika kwa aliyo fanya.
  7. Mtu Alie Nyikani

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuna msemo mmoja maarifu sana kwenye Geopolitics unasema "military operations must serve as clear political objectives" Kwa mantiki hiyo kama political objectives umeshindwa kuzi-achieve automatically umeshindwa vita. Political objectives ya USA in Vietnam ilikua ni kuwazuia Vietnam kujiunga...
  8. Mtu Alie Nyikani

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Umetumia kigezo gani kusema hivi? Kwanza kabsa Hoja kwamba Iran inapigana vita vya survival siyo sahihi kabisa. Japo Iran inalinda utawala wake, (Regime Survival) lakini pia inaendelea kufanya mashambulizi ya kijeshi. Mkakati wake unategemea sana Asymmetric Warfare, ambapo anatumia drones...
  9. Mtu Alie Nyikani

    Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

    Jamaa analeta story za vijiweni...! Hizo western Countries tunaona kabsa zikipeleka naval ships, Juzi tumeona Ukraine ametoa msaada wa drones. Hao Russia ,China , Korea.. mbona hatuoni au kusikia wametuma vifaa vya kijeshi Iran? Au yeye source yake ni ipi ya habari.
  10. Mtu Alie Nyikani

    Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

    Jamaa wameleta competition kweli.. na hapa Iran hawezi kuacha kutumia hii mbinu asymmetric warfare... mara nyingi lengo lake ni kufanya vita iwe ndefu, ghali, na yenye presha kubwa kwa adui. Na tulisha ona impact yake kwa world economic.
  11. Mtu Alie Nyikani

    Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

    Marekani ndiyo zao wakishibdwa vita, watakuja na propaganda za ajabu sana. Ila tuwe wakweli Marekani hawezi kufanya regime change hapo.. it's very difficult ni kama ndoto but will never happen
  12. Mtu Alie Nyikani

    Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

    Technically & Strategically Iran ameshinda vita, kilicho Baki saivi USA & Israel ni civilian targeting...
  13. Mtu Alie Nyikani

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Ground force mbona anaenda kujichimbia kaburi... Zaidi ya 50% ya eneo la Iran ni milima, mabonde na misitu mwenye audacity Jeshi lake hapa kuivamia Iran, atakua Hana akili vizuri.
Back
Top Bottom