Kodi ya ongezeko la thamani (VAT)
Hii ni aina ya kodi inayotozwa baada ya kuongeza thamani ya bidhaa. Ukinunua kitu na kukiuza kwa bei ile ile uliyonunulia, hutaweka VAT maana hukuongeza thamani ya bidhaa ile.
Kodi hii haikusanywi na kila mfanyabiashara bali wale wanaokidhi vigezo na kusajiliwa...
Kodi ya ongezeko la thamani (VAT)
Hii ni aina ya kodi inayotozwa baada ya kuongeza thamani ya bidhaa. Ukinunua kitu na kukiuza kwa bei ile ile uliyonunulia, hutaweka VAT maana hukuongeza thamani ya bidhaa ile.
Kodi hii haikusanywi na kila mfanyabiashara bali wale wanaokidhi vigezo na kusajiliwa...
Hapa mnaongelea vitu viwili tofauti, machine za risiti (EFD) na kodi ya ongezeko la thamani (VAT). Hivi ni vitu viwili tofauti kabisa na havina uhusiano.
Nianze na mashine.
Hizi ni mashine maalum za kutolea risiti zilizotengenezwa kulingana na matakwa ya serikali na mamlaka ya mapato ndio...
Inategemea unatoka vipi na sababu ya kutoka.
Mtu anayenunuliwa na kufanya mambo ambayo hata mtoto mdogo anajua sio kawaida yake unataka aendelee kuitwa kamanda?
Havifanani
Bora mimi mtoto mama yangu atanielekeza na kunifundisha, wewe naona umejikuza mwenyewe hivyo hujui kuonywa wala kufundishwa. Kalaghabhaho na ujuba wako.
Namba 1-4 zina ukeli zilizobaki zinanipa 'proof' kuwa wanaume wa siku hizi wanapenda kulelewa. wenyewe mnawaita marionini sijui.
Na huwezi kuangalia sifa moja tu ukasema huyo ni wife material ndo maana mnajikuta mnaangukia mikononi mwa majini. Sifa za wife material zinapatikana Mithali 31:10-31
Mkuu haikuwa lengo langu kumlinganisha Yesu na Gwajima, siwezi.
nilikuwa najaribu kueleza kuwa si ajabu mtu anayeonekana mtumishi wa Mungu kutumia lugha kali (ya matusi kama inavyodaiwa) kwani hata watangulizi walitumia.
Mimi si muumini wala mfuasi wa Gwajima msininukuu vibaya lakini nilikuwa...
Hata mimi sikupendezwa na kauli alizotumia na siwezi sema aliongozwa na Roho Mtakatifu au Mtakafujo lakini hata Yesu mwenyewe aliwahi kumuita Herode Mbweha. Hivyo nafikiri kuna wakati hali hiyo hutokea hata kwa watumishi ili kufikisha ujumbe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.