Nchi inaweza kuchafuka kutegemea ni nani anaichafua. Nikuulize, ninyi mmekuwa mkiwaponda Waheshimiwa Majaji kutoka Uganda na Namibia kuwemo kwenye Tume ya Jaji Lilla. Je, Judiciary Systems za Uganda na Namibia zimechafuka?
Kama Katiba ni vizazi na vizazi kwanini mliopo leo mnang'ang'ania mtengeneze Katiba Mpya na msisubiri wa 2090 ndio watengeneze? Why now? Halafu eti ikae vizazi na vizazi?
Mtu yeyote anayeongea kwa sauti ya juu na kutematema mate, HAWEZI kuwa na busara ya kusikilizwa! Kaangalie hotuba za Martin King Jr. au za Barack Obama uone kama wanaongea kwa kupaza sauti na kutoa mimacho! Ahahahahaha!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.