Recent content by Mtoto wa Shule

  1. M

    Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Pamoja na kumtetea sana, one point is clear. Hakuwa hata amepanga! Ahahahahaha!!
  2. M

    kumbe inshu ya maroboti ya kusifia kwenye mitandao ya kijamii ni kweli

    Na wewe ni roboti la kupingapinga? Basi sawa.
  3. M

    Nimefurahishwa na maamuzi ya CAF kumvua ubingwa Senegal

    Dogo unahusisha kupanga matokeo na tukio la Senegal? Mbona unachekesha? FIFA inainyang'anya timu iliyosusia mchezo. Kumbuka "kususia*. Senegal walimaliza dakika zote tisini uwanjani. Je, unaweza kusema walisusia?
  4. M

    PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Watoto wamerudi salama kutoka shuleni. Wa chuoni naamini atakuwa salama, inshallah! Safari hii nyie wapuuzi tuwaambie mapema, tumejipanga kuzilinda familia zetu. Na mkija kwenye familia zetu hatusubiri mrambishwe za manjagu, bali tutawarambisha zetu kwanza kama "self defense". Hizo za kauli za...
  5. M

    Tanzania tuanze mtindo wa Colombia. Tupambane na wanaolinda serikali ya wezi

    Huo utaratibu mnauanzia mtandaoni? Kama ni hivyo mbona kama mliishaanza zamani sana na hamjafanikiwa?
  6. M

    GE2025 Vitali Maembe aachana na siasa

    Hii inakubalika. Baada ya kuona umepuuzwa na chama chako ukaona uandike public. Ungelikaa kimya tu ingelitosha
  7. M

    Tukio la kupatwa kwa mwezi ni miongoni mwa dalili za kutokea kwa Mungu kufikia mwisho wa dunia

    Ufike kwa nani? Labda kwa Manabii uchwara kwasababu mambo ya kupatwa kwa mwezi na kupatwa kwa jua ni mambo ya kisayansi na yameishatokea Duniani zaidi ya mara nyingi. Sasa uamini sasa hivi eti " ndio mwisho wa dunia?
  8. M

    Siku tukiacha U Keybord worrior na tuka upply physical worrior ndio siku heshima itakuwepo

    Hapo humpati mtu. Watakwambia Mungu Mkubwa atatenda tu ila sio wao! Ahahahahaha!!!
  9. M

    Next CDF? Something she is cooking

    Ndio hiyo hiyo. Jamaa anafanya "flashback" tu baada ya kukosa cha kuandika.
  10. M

    GE2025 No Reforms no Election imeshafanikiwa

    Halafu huwa mnachekesha sana kuamini Mungu ni wa kwenu peke yenu! Ahahahahaha! Au mmesahau kuwa imeandikwa," utawala hutoka kwa Mungu?" Ahahahahaha!!
  11. M

    Thamani ya Yanga ni Tsh. Bilioni 100, Simba ni Tsh. Bilioni 20

    Kwanini Yanga wanaitwa kandambili!?
  12. M

    Jamani mbona JF hakuna kibaya kinachoandikwa?

    Oysterbay Police si unapajua? Ebu kawaambie waachane na Primary School Mate wangu Melo!
Back
Top Bottom