Recent content by Mtoto wa Shule

  1. M

    JamiiForums Tanzania Je Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Hoja za kipumbavu zinatolewa na watu wapumbavu!
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania, tumwombee sana Mzee Warioba. Ndo Mzee pekee ambaye amebaki kwa Maslahi ya Umma.

    Kaache kafie jukwaani kama kanafikiri ndio ushujaa!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Yanayofichwa ni haya: Wabongo walioletwa kutoka S.Africa wengi ni vichaa na mateja

    Watu wa ajabu kabisa hawa. Tukisema ni wagonjwa wa Afya ya Akili wanaloloma eri wametukanwa!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Yanayofichwa ni haya: Wabongo walioletwa kutoka S.Africa wengi ni vichaa na mateja

    Bahati mbaya HAKUNA wa kutoa majibu humu!
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Ndio maana nikakwambia hujui tofauti ya Court Trials na Impeachment! Ahahahahaha!! Alichotaka kufanyiwa Bill Clinton ni Impeachment! Ahahahahaha! Hata Tanzania hiyo sheria ipo. Fuatilia Lakini kwa Marekani hiyo hiyo, huwezi kumshtaki Rais mahakamani akiwa Rais au baada ya kutoka! Na kwa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Hoja ni kwamba hizo nchi ni chache sana kuishawishi Tanzania kuwaiga. Pia pamoja na kuwa na hiyo sheria haijawahi kuwasidia. Peru zaidi ya Marais Saba wameshtakiwa. Imewasaidia nini? Korea Kusini pamoja na hiyo sheria Kuwepo, bado ndio nchi inaongoza kuwa na Marais na ndugu zao wala rushwa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Ahsante sana kwa kurudia kutoa mifano ambayo nimeishaitaja. Na kwa mifano, je, ndio ihalalishe na sisi tuwe kama wao? Kuna nchi ngapi duniani hazifanyi hivyo na mambo ya naenda?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Trump hana hayo mamlaka?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Niliishaisema hiyo.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Acha ujinga wako wewe! Au hujui tofauti ya Court Trials na Impeachment? Ahahahahaha! Marekani wana Impeachment ambayo hata Tanzania ipo. Lakini Rais wa Marekani HAPELEKWI Mahakamani akiwa ofisini au amemaliza muda wake. Learn Dogo!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Mfano?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Kweli na uzuri wake mwingine wote wanahitaji matibabu ya aina Moja!
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Nimeishaziorodhesha nchi husika. Zako ni feki, mfano Niliishazitaja Mimi binafsi nchi husika.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: Siungi mkono mamlaka ya Rais kupunguzwa

    Dunia nzima hizo nchi hazizidi tano. a) Presidents' trials during office are Brazil and France b) Presidents' trials after office are France, Brazil, South Africa South Korea, Argentina and Rwanda (Ahahahahaha, Rwanda) Hizo nchi ni chache sana kushinikiza Tanzania LAZIMA tufanye hivyo. Rwanda...
Back
Top Bottom