Recent content by Mtoto wa Shule

  1. M

    JamiiForums Tanzania RCO wa mkoa wa Mwanza, ashitakiwe Kwa uharifu dhidi ya ubinadamu.

    Hiyo ndio Raha ya kweli, ila sasa unaondokaje?
  2. M

    JamiiForums Tanzania RCO wa mkoa wa Mwanza, ashitakiwe Kwa uharifu dhidi ya ubinadamu.

    Ni jirani yangu huko kijijini na majuzi kati tu tumekutana huko tukanywa "enkonyagi". We upo mitandaoni eti anaogopa kwenda Kijijini? Pumbavu!!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula aitaka Serikali ya Tanzania itoe maelezo kuhusu tuhuma dhidi yake kupeleka watu kusaidia kupora Zambia!

    Nchi inaweza kuchafuka kutegemea ni nani anaichafua. Nikuulize, ninyi mmekuwa mkiwaponda Waheshimiwa Majaji kutoka Uganda na Namibia kuwemo kwenye Tume ya Jaji Lilla. Je, Judiciary Systems za Uganda na Namibia zimechafuka?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufikiri namna ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwenye Katiba ijayo ili kutengeneza umoja na mshikamano wa kitaifa

    Kama Katiba ni vizazi na vizazi kwanini mliopo leo mnang'ang'ania mtengeneze Katiba Mpya na msisubiri wa 2090 ndio watengeneze? Why now? Halafu eti ikae vizazi na vizazi?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dalili zote zinaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu mnaosubiri katiba Mpya mnapoteza Mda

    Nini unataka kiwemo Katiba kitakachoiondoa CCM madarakani?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tuanze kufikiri namna ya kuwa na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) kwenye Katiba ijayo ili kutengeneza umoja na mshikamano wa kitaifa

    Kwamba akina Chadema waingie seriklini kwa kupitia mlango wa nyuma? No way!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dalili zote zinaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu mnaosubiri katiba Mpya mnapoteza Mda

    Unataka kitu gani kwenye Katiba Mpya?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dalili zote zinaonyesha CCM itatoka madarakani kwa kumwaga damu mnaosubiri katiba Mpya mnapoteza Mda

    Wewe binafsi upo tayari kuimwaga damu yako ili CCM itoke au unasubiri wengine wamwage?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wenyeviti 17 wa Vyama vilivyoshiriki Uchaguzi watunzwe kwa wivu mkubwa

    Ahahahahaha! Ningelikuwa mgeni wa vitisho vya JF ningeliogopa.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wenyeviti 17 wa Vyama vilivyoshiriki Uchaguzi watunzwe kwa wivu mkubwa

    Ugaidi wa Lissu na waliofanya vurugu baada ya Uchaguzi Mkuu. Siwaungi mkono kabisa!
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wenyeviti 17 wa Vyama vilivyoshiriki Uchaguzi watunzwe kwa wivu mkubwa

    Naunga mkono hoja!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mo Dewj ni Tapeli? Serikali imchunguze Huyu Bilionea

    Uko sahihi kabisa Mwamba. 👍👍👍👍
  13. M

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Organization wa CCM hajui hata bajeti ya Nchi, Ndani ya CCM kwa sasa hakuna wakukaa na Heche kwenye debate

    Mtu yeyote anayeongea kwa sauti ya juu na kutematema mate, HAWEZI kuwa na busara ya kusikilizwa! Kaangalie hotuba za Martin King Jr. au za Barack Obama uone kama wanaongea kwa kupaza sauti na kutoa mimacho! Ahahahahaha!!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Askofu Mwamakula aitaka Serikali ya Tanzania itoe maelezo kuhusu tuhuma dhidi yake kupeleka watu kusaidia kupora Zambia!

    Kwakuwa nina akili timamu, aitajibu huu ujinga. Kaa nao mwenyewe.
Back
Top Bottom