Ndio maana nikakwambia hujui tofauti ya Court Trials na Impeachment! Ahahahahaha!!
Alichotaka kufanyiwa Bill Clinton ni Impeachment! Ahahahahaha! Hata Tanzania hiyo sheria ipo. Fuatilia
Lakini kwa Marekani hiyo hiyo, huwezi kumshtaki Rais mahakamani akiwa Rais au baada ya kutoka! Na kwa...
Hoja ni kwamba hizo nchi ni chache sana kuishawishi Tanzania kuwaiga. Pia pamoja na kuwa na hiyo sheria haijawahi kuwasidia. Peru zaidi ya Marais Saba wameshtakiwa. Imewasaidia nini? Korea Kusini pamoja na hiyo sheria Kuwepo, bado ndio nchi inaongoza kuwa na Marais na ndugu zao wala rushwa...
Ahsante sana kwa kurudia kutoa mifano ambayo nimeishaitaja. Na kwa mifano, je, ndio ihalalishe na sisi tuwe kama wao? Kuna nchi ngapi duniani hazifanyi hivyo na mambo ya naenda?
Acha ujinga wako wewe! Au hujui tofauti ya Court Trials na Impeachment? Ahahahahaha!
Marekani wana Impeachment ambayo hata Tanzania ipo. Lakini Rais wa Marekani HAPELEKWI Mahakamani akiwa ofisini au amemaliza muda wake. Learn Dogo!
Dunia nzima hizo nchi hazizidi tano.
a) Presidents' trials during office are Brazil and France
b) Presidents' trials after office are France, Brazil, South Africa South Korea, Argentina and Rwanda (Ahahahahaha, Rwanda)
Hizo nchi ni chache sana kushinikiza Tanzania LAZIMA tufanye hivyo. Rwanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.