Recent content by Mtoto wa Shule

  1. M

    JamiiForums Tanzania ICC imeishia wapi?

    Siku zote muda ni mwalimu mzuri.
  2. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mwakilishi kutoka Tanzania afika Kampala kumshukuru Museveni kwa kusaidia mambo ya Oktoba 29

    Ni jambo jema sana, maana majirani kusaidiana katika shida na raha ni jadi ya sisi Waafrika.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ssebo hakujenga nyumba Dar?

    Pamoja na kumtetea sana, one point is clear. Hakuwa hata amepanga! Ahahahahaha!!
  4. M

    JamiiForums Tanzania kumbe inshu ya maroboti ya kusifia kwenye mitandao ya kijamii ni kweli

    Na wewe ni roboti la kupingapinga? Basi sawa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nimefurahishwa na maamuzi ya CAF kumvua ubingwa Senegal

    Dogo unahusisha kupanga matokeo na tukio la Senegal? Mbona unachekesha? FIFA inainyang'anya timu iliyosusia mchezo. Kumbuka "kususia*. Senegal walimaliza dakika zote tisini uwanjani. Je, unaweza kusema walisusia?
  6. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gen Z hawapoi: Desemba 9, 2025 kuja na maandamano mapya

    Watoto wamerudi salama kutoka shuleni. Wa chuoni naamini atakuwa salama, inshallah! Safari hii nyie wapuuzi tuwaambie mapema, tumejipanga kuzilinda familia zetu. Na mkija kwenye familia zetu hatusubiri mrambishwe za manjagu, bali tutawarambisha zetu kwanza kama "self defense". Hizo za kauli za...
  7. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 ICC wakitoa Arrest Warrant ya Samia na wenzake tutawaomba Marekani na EU waombe Baraza la Usalama UN likubali kuundwa Taskforce kufanya ukamataji

    Unasubiria kama fisi anayeaubiria mkono wa binadamu kuanguka! Ahahahahaha!!!
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania tuanze mtindo wa Colombia. Tupambane na wanaolinda serikali ya wezi

    Huo utaratibu mnauanzia mtandaoni? Kama ni hivyo mbona kama mliishaanza zamani sana na hamjafanikiwa?
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vitali Maembe aachana na siasa

    Hii inakubalika. Baada ya kuona umepuuzwa na chama chako ukaona uandike public. Ungelikaa kimya tu ingelitosha
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tukio la kupatwa kwa mwezi ni miongoni mwa dalili za kutokea kwa Mungu kufikia mwisho wa dunia

    Kila kitu kina maelezo ya kisayansi na kidini.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tukio la kupatwa kwa mwezi ni miongoni mwa dalili za kutokea kwa Mungu kufikia mwisho wa dunia

    Sio sayansi bali ina maelezo ya kisayansi.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tukio la kupatwa kwa mwezi ni miongoni mwa dalili za kutokea kwa Mungu kufikia mwisho wa dunia

    Ufike kwa nani? Labda kwa Manabii uchwara kwasababu mambo ya kupatwa kwa mwezi na kupatwa kwa jua ni mambo ya kisayansi na yameishatokea Duniani zaidi ya mara nyingi. Sasa uamini sasa hivi eti " ndio mwisho wa dunia?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Siku tukiacha U Keybord worrior na tuka upply physical worrior ndio siku heshima itakuwepo

    Hapo humpati mtu. Watakwambia Mungu Mkubwa atatenda tu ila sio wao! Ahahahahaha!!!
  14. M

    JamiiForums Tanzania Next CDF? Something she is cooking

    Ndio hiyo hiyo. Jamaa anafanya "flashback" tu baada ya kukosa cha kuandika.
  15. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 No Reforms no Election imeshafanikiwa

    Halafu huwa mnachekesha sana kuamini Mungu ni wa kwenu peke yenu! Ahahahahaha! Au mmesahau kuwa imeandikwa," utawala hutoka kwa Mungu?" Ahahahahaha!!
Back
Top Bottom