Dogo unahusisha kupanga matokeo na tukio la Senegal? Mbona unachekesha?
FIFA inainyang'anya timu iliyosusia mchezo. Kumbuka "kususia*. Senegal walimaliza dakika zote tisini uwanjani. Je, unaweza kusema walisusia?
Watoto wamerudi salama kutoka shuleni. Wa chuoni naamini atakuwa salama, inshallah!
Safari hii nyie wapuuzi tuwaambie mapema, tumejipanga kuzilinda familia zetu. Na mkija kwenye familia zetu hatusubiri mrambishwe za manjagu, bali tutawarambisha zetu kwanza kama "self defense". Hizo za kauli za...
Ufike kwa nani? Labda kwa Manabii uchwara kwasababu mambo ya kupatwa kwa mwezi na kupatwa kwa jua ni mambo ya kisayansi na yameishatokea Duniani zaidi ya mara nyingi. Sasa uamini sasa hivi eti " ndio mwisho wa dunia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.