Recent content by Mtoto wa Nyerere

  1. Mtoto wa Nyerere

    Rais Samia: Nimeona Afisa Afya Tunduru akipita nyumba kwa nyumba kuchanja, suala hili lisifanyike kwa mabavu

    Samia amesema anaunga mkono chanjo ya nyumba kwa nyumba inayopendekezwa na mkuu wa mkoa wa mbeya. Swali hizo cost zinazotumika kulazimisha watu wachanjwe zinatoka wapi? Kwanini pesa zisielekezwe kwenye mambo mengine ya msingi. Mama wanaomshauri wanamponza Sana. --- Rais Samia Suluhu...
  2. Mtoto wa Nyerere

    Boys to men ya 1995 wamerudi, tujipange

    Mwaka 1995 kama asingekuwa Nyerere boys to men walikuwa tayari wamechukua nchi. Akawapiga chini ila Kuna mambo mengi yaliendelea mpaka kifo chake mwaka 1999 hapo ndio lobbying ilifanyika wakaingia ulingoni na kuanza kumtishia Mkapa akaanza kubinafsisha kila kitu. Ukiona leo Bei ya unit 1 ya...
  3. Mtoto wa Nyerere

    Machinga wasilete siasa waondolewe haraka miji yote Tanzania

    Shida zilianza awamu ya tano uko nyuma kulikuwa hakuna Machinga?
  4. Mtoto wa Nyerere

    Machinga wasilete siasa waondolewe haraka miji yote Tanzania

    Zipo za kila aina Ni wewe tu unataka ya shilingi ngapi?
  5. Mtoto wa Nyerere

    Machinga wasilete siasa waondolewe haraka miji yote Tanzania

    Thanks ok,hata Mimi nimejiajiri na nalipaga Kodi na mtaji wangu Ni kama milion 5 tu na Nina fremu Hapo Kuna Machinga kasema mtaji wake Ni milioni 15 lakini Cha kishangaza ameanika vitu vyake nje. Huu Ni upumbavu kuwa na mfanyabiashara mwenye mtaji mkubwa vile na alipi Kodi.
  6. Mtoto wa Nyerere

    Machinga wasilete siasa waondolewe haraka miji yote Tanzania

    Fremu leo zimedoda mikoa yote, ina maana Machinga wanashindwa kujiunga hata watatu watatu wakachukua fremu wakaripa Kodi? Nchi imekuwa ya kipuuzi sana mama ntilie wanashindwa kujiunga wakatengeneza taasisi inayolipa Kodi na wakafanya derivali ya chakula kwenye maofisi mida ya mchana? Mpaka...
  7. Mtoto wa Nyerere

    Rais wa Nchi hutakiwi kuwa na makundi

    Naona kwa maoni yangu tupo kwenye mkwamo kuliko kipindi chochote toka tupate Uhuru. Rais ukiingia madarakani na ukawa na makundi ya Matajiri na watu wenye maslahi yao madarakani ujue hauwezi kuongoza taifa. Nyerere hakuwa na makundi ndio maana mpaka anaondoka ikulu hakuwai kuiba hata sent ya...
  8. Mtoto wa Nyerere

    Mbowe ashindwa kuhudhuria Mahakamani. Kesi yaendeshwa kwa njia ya video, Yaahirishwa mpaka Agosti 27

    Ushauri chadema waanzishe makongamano ya katiba nchi nzima hapa lengo ni kupoteza mchakato wa katiba
  9. Mtoto wa Nyerere

    Kaka yangu amefariki kwa ugonjwa wa CORONA

    Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando Mwanza hakika ni majonzi makubwa sana. Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo...
  10. Mtoto wa Nyerere

    SoC01 Namna Wizi, Utapeli na Biashara Haramu zinavyofanyika Tanzania na nini kifanyike kupunguza tatizo

    Elimu ya kitaa ni bora sana kuliko makaratasi Yale ya udsm Ni vizuri ukiwa na elimu zote ndio inabamba zaidi.
  11. Mtoto wa Nyerere

    Simbachawene: Polisi waache Mara moja kubambikia watu kesi

    Atakuwa katumwa kupima upepo
  12. Mtoto wa Nyerere

    Simbachawene: Polisi waache Mara moja kubambikia watu kesi

    Moshi. Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amelionya Jeshi la Polisi kwa tabia za baadhi ya askari wake kubambika watu kesi, huku pia akitaka mafunzo ya awali ya askari yaongezwe kutoka miezi tisa hadi 12 ili kupunguza changomoto ya ukosefu wa maadili kwa baadhi ya askari. Akizungumza...
  13. Mtoto wa Nyerere

    Utawala huu utaanguka kwasababu ya kodi ya kizalendo

    Naliona anguko kubwa la utawala huu. Wamejitenganisha na uzalendo wa Rais Magufuli aliokuwa nao kwa nchi wameanza kuchezea nchi. Pamoja na kwamba Magufuli alikuwa na ukorofi wa kutopenda kukosolewa ila asingeweza kuruhusu ujinga huu. 1: Tozo kwenye simu (double taxation) 2: Tozo kwenye kila...
  14. Mtoto wa Nyerere

    Hayati Magufuli alianza hivihivi kwa vifijo na shangwe

    Unatuletea mambo ya marekani Tanzania shehe
Back
Top Bottom