Mheshimiwa Tundu Lissu, pole kwa changamoto ulizopitia na hongera kwa kuwa na moyo wa kuendelea kupambana kwa ajili ya HAKI.
Maswali yangu:
1. Watanzania wengi ni wakulima, zamani tuliambiwa 80% kwa sasa sijui ni kwa asilimia ngapi. Wengi wa hao wakulima ni wa kujikimu tu na hivyo kulima bila...
Nashindwa kuelewa ni kwa nini viongozi wa ccm bara wanakosa ujasiri kama wenzao wa Zanzibar kuhusiana na suala la serikali tatu. Wazanzibari wako pamoja, Nahodha alithibitisha hilo kwenye kikao cha chama chao. Hawa wa bara wanaendeleza unafiki tu kujifanya eanapenda sana muungano kumbe...
Kama nimemuelewa Maranya, nadhani alitaka tuende hatua zaidi ya hiyo ya kulalamikia daftari. Ndio tunafahamu ni tatizo, lakini hatuna uhakika 100% kwamba hao ambao hawajaandikishwa watatupa kura zao. Tunahitaji kuwa selves critical ili tuwe na mipango na mbinu stahiki ili zitumike consistently...
Nadhani sio sahihi kushambulia nafsi, personal attack, bali ni vyema kujadili hoja. Naamini zzk kuna jambo keshajifunza hivyo kwa maslahi mapana ya umoja wa chama ni vyema mkaacha kumshambulia yeye binafsi. Ningependa kuona chama na viongozi wake wanajikita katika vita dhidi ya ccm badala ya...
Namuamini Zitto katika hili la mabilioni ya uswis, serikali imeona fursa ya Zzk kuwa na mgogoro na chama chake sasa wameamua kuitumia.
Ni vyema pia Zzk akajifunza kwamba heshima alizokuwa anapata ni kutokana na Chadema. Hata nguvu ya hoja zake zilitokana na yeye kuwa chadema. Ccm wamemtumia...
onday, November 25, 2013
Lwaitama: CCM, CHADEMA na 'Umoja ni Ushindi'
Asante ... kwa uchambuzi wenye tafakuri tunduizi. Nitajaribu baadaye kufuata nyazo zako. Lakini kitu kimoja kiko wazi. Chadema kama taasisi imechukua uamuzi sahihi. Kaulimbiu ya CCM ya tangu Aprili 2012 ni eti "Umoja ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.