pamoja nakuwa alisema yote au hakusema waliokuwapo katika jimbo hilo nilipi walilolifanya la kubadilisha kawe na watu wake kupata maendeleo..
tusiwe wasemaji tuangalie mbele wetu na taifa leo kwa ujumla katika kuleta maendeleo kupitia yeye kwa wakati huu...
mimi naona unafaa na kura yangu...
kuna haja ya kusema wew unafaa sana kuwa kawe ili kufanya mabadiliko lkn walio kuwepo kwakweli ni maendeleo gani waliyoleta mpk sasa hakuna tunahitaji mabadiliko kwakweli kawe ...na wewe una faaa sana
tunatamani kuona BBC ikiwa chanel ya kwanza kusema kweli na kuwafanya watu waelewe vitu ambavyo wanafanya lkn kama mwafanya vitu ambayo mpaka sisi wenyewe tunakuwa tunajiuliza imekuwaje na inaendaje siyo jambo zuri kabx .......
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
watu wanaona wao ndo waamuzi wa mwisho wa mtu kufanya maamuzi ya siasa mtu wa Mungu huyu anamaono makubwa sana inavyoonekana kwa ajili ya taifa letu mim nimwelewa sana sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.