Nakumbuka alinipa 700k akanipeleka mlimani City kuchek movie (sijawahi😁) hizi shopping za nguo hadi sikumbuki idadi ni nyingi wallah😁 yeye ndo kanifanya nijue kupendeza nilikua navaa sana mitumba🤣 dukani sikuwah kununua😁 kwa kifupi zawadi ni nyingi sina nnachomdai🙌 MUNGU AMUWEKE LUCY WANGU 🌹
Kak
Kaka huo upumbavu wako unamwambia nani? kila siku kwenye vikao tunasema hakuna kuoa singo maza?? Kwenye vikao vya wanaume hujagiii eeh? Nani alikuambia Tunaoa singo maza? Haya na hapo bado hajaanza kukutana na mzazi mwenzake🤣🤣🤣 we Fala mpaka ufee.. na mtoto wake unamlea wewe akikua...
Ndugu yako nani wewe toa usenge hapa..! Mkiambiwa ukweli mnakuja kununa hapa kama machoko half usipende kuweka wingi kusema mama ametufikia choko ww sema mama amekufikia wewe WATU WANATEKWA WATU WANAKUFA HALF MNASEMA NI DRAMA kumaninaaa wallah Nyie ndo MAPONJORO WAKUBWA #No reform No election
Mwanangu ni baharia aliambiwa mahari ni M5 akamwambia demu subr nirudi maana likua ABU DHABI, alivyorudi akaenda kwa mjomba ake demu akamuuliza hiyo M5 mnayotaka ni kwa huyu binti yenu ambaye nimekuta hana bikra?🤣 ndo huyo aliekua anaenda kimara kulala kwa bwana ake week 2 half mnataak nitoe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.