Binafsi nimeshawahi kukutana na tatizo hili zaidi ya mara tatu na nikawa nashangaa sijui la kufanya! Niliwahi kulazimika kwa kulazimishwa kulipia tiketi ya ndege mara tatu kwa dola na kuambiwa waziwazi kwamba shilingi haitakiwi.
Ofisi za Ethiopia Airline na hata Egypt Air! Na mpaka leo mchezo...
Unaposema teknolojia ilikuwa ya chini unamaanisha nini wakati uhalisia unaonesha uwepo wa teknolojia ya juu? Unajua kuwa hata muda huu ukitaka kujenga majengo kama hayo bado ni changamoto kubwa ingawa unahisi kuwa kuna teknolojia ya juu?
Inaonekana kama bado hajaitambua Corona kiukamilifu. Ila nimesikia amekubali kupelekewa chanjo, na tayari kuna mkakati unapikwa wa kumpeleka chanjo laki tatu za awali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.