Wewe udini wa nini tena humu, umeona giza mbele ndiyo unataka kutuletea machafuko, umetumwa na mabeberu nini?! Kama mtu anapiga kazi mpaka Corona inakimbia unataka umbadirishe kwa nini, Magu komaa Mzee hatuchagui padri, shehe wala mchungaji wa kutuhubiri dini, tunataka mtu anayefanya kazi...