Matajiri wanakaa mguu mmoja ndani mwengine nje kwa sababu ya siasa zetu. Yaani kwa siasa zetu anaweza kuja kiongozi muda wowote akawafilisi mali zote. sasa na wao matajiri lazima wajihami, wafiche hela nje ya nchi. Nje ya nchi hela za matajiri zinanufaisha wengine maana wanalipwa au wanakatwa...
Mkuu labda uende benki ukaongee na meneja atakueleza mzunguko wao wa hela uko vipi. Hela zinazowekwa kwenye fixed akaunti, benki wanazikopesha kwa riba. Kwa hiyo tajiri akiweka mfano bilioni 10 benki, hazikai tu. Benki watakopesha, au kuwekeza ili kupata faida. Sasa wanaokepeshwa ni pamoja na...
Wenye nacho waachwe wapate zaidi watengeneze Ajira. Hela ya tajiri ikikaa benki, watu wa kawaida wanapata mikopo ya kujiendeleeza kibiashara, kujenga, n.k. Tajiri akiamua kutumia hela yake pia watu wa kawaida wananufaika na Ajira zinaongezeka. Ila matajiri wakionekana kama wahalifu fulani, hela...
Labda huyo ni jasusi mmoja aliyetumia pasi ya Kenya mwenye special mission. Ni mambo ya kawaida kwa majasusi kuwa na nyaraka za nchi nyingine wakiwa kwenye kazi zao.
Usishangae hizo tetesi zinavujishwa maksudi ndani ya system ili wananchi waamini kuna upinzani wa kweli. Wakati yote hiyo ni show tu. Upinzani wa kweli unasota jela au umekimbia nchi.
Kama karma kweli ipo ingeshawapata wakoloni na viongozi wengi wa Africa ambao wanatawala kidikteta. Wengi wanaishi maisha marefu, wanajilimbikizia utajiri na kufa uzeeni. Hapa kwetu Tanzania wangapi wameuwawa huko Zanzibar tangu Mapinduzi mpaka leo? Si karma Ingeshawapata maraisi wote wa nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.