Naomba nipate kujua juu ya kibali cha ujenzi maana nimeendeleza ujenzi pindi nikipata pesa kama inavyojulikana ujenzi aumaliziki Sasa ninani ametoa mamlaka ya kuchora kuta za watu kisa kibali "sitisha ujenzi adi kibali"ivi mama yetu anajua kama nyumba za watu zinachorwa kila uchwao je sheria ya...
Siku za hivi karibuni ukiwa na mkopo kwenye ulikopa kwa kutumia namba yako ya NIDA basi upati mkopo kwenye Bank.
Je ni sahihi kunyimwa mkopo wa bank eti ulikopa Kwa kutumia NIDA namba tena wanakutafuta adi waone udaiwi Sasa mtu anaweka dhamana mshahara wake bank fulani wanapekua NIDA kweli...
Kiukweli mama na sisi watumishi wengine tunataka tupewe allowance ya maji,umeme na Kodi ya nyumba maana ata sisi tunakatwa Kodi kwanini kuwe na upendeleo na maisha ni hayahaya wote magumu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.